Recent Posts

RAIS MSTAAFU JK ASHIRIKI MKUTANO WA TOKOMEZA MALARIA DUNIANI

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki katika mkutano wa Baraza la Kutokomeza Malaria Duniani (End Malaria Council) uliofanyika tarehe 26 Septemba, 2018 mjini New York Marekani. Baraza la Kutokomeza Malaria linaundwa na Wajumbe 9 ambao ni watu mashuhuri katika sekta ya umma na sekta binafsi chini uenyekiti wa Bill Gates. …

Soma zaidi »

ENG. MFUGALE NI MFANO WA KUIGWA KWA UTUMISHI ULIOTUKUKA TANZANIA!

Kufuatia uamuzi wa Mhe. Rais Magufuli kuwa Flyover ya makutano ya barabara ya Nyerere na Mandela iitwe Mfugale Flyover, Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi, Mhandisi Prof. Ninatubu Lema amesoma wasifu wa Mhandisi Patrick Aron Lipilima Mfugale na kueleza kuwa ameitumikia nchi akiwa Mhandisi kwa miaka 41 ambapo katika …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI:NITABADILISHA JIJI LA DAR ES SALAAM.

Rais Dkt John Magufuli, amezindua flyover ya MFUGALE hii leo katika makutano Tazara jijini Dar Es Salaam. Rais Magufuli amesema kuwa flyover hiyo imepewa jina hilo kutokana na kazi nyingi alizofanya Injinia Patrick Mfugale, ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini(TANROADS),kwa uaminifu mkubwa na kwa kutanguliza utanzania badala …

Soma zaidi »

video: JWTZ WAFANIKIWA KUIOPOA MV NYERERE LEO!!

Kazi ya kuitoa ndani ya ziwa yaendelea kwa mafanikio Kwa asilimia kubwa kivuko chote kinaelea juu ya maji katika ziwa Victoria. Pongezi za thati kwa serikali, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo anayesimamia zoezi zima na Jeshi lote kwa kazi nzito yenye mafanikio makubwa. Tunatoa pole sana …

Soma zaidi »

LIVE: Kutoka Iringa

Mkuu wa Mkoa Mhe. Ali Hapi akisikiliza kero, maswali ya wananchi na kutafutia majibu na utatuzi. Bofya link hii kufuatilia moja kwa moja. #MATAGA

Soma zaidi »

MKUU WA MKOA WA RUVUMA:Kila mmoja asimamie lishe bora

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Bibi Christina Mndeme amesaini mkataba wa kusimamia suala la LISHE na Wakuu wa Wilaya wenye lengo la kuongeza uwajibikaji katika suala la kukabiliana na tatizo la Utapiamlo ndani ya Mkoa huo. Aidha Mkuu wa Mkoa amewaasa wananchi kila mmoja kushiriki kikamilifu katika kusimamia suala la …

Soma zaidi »