Taarifa ChanyA+
September, 2018
-
13 September
IRINGA: Ziara ya Mkuu wa mkoa wa Iringa Mhe Ally Hapi yaibua makubwa
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu na uchunguzi wa jinai kwa watendaji mbalimbali wa kijiji cha utosi, kata Sadani akiwemo katibu tarafa wa Sadani kwa makosa mbalimbali wanayotuhumiwa. Katika mkutano wa hadhara wa kusikiliza kero za wananchi kijiji cha Utosi tarafa ya SADANI, wananchi …
Soma zaidi » -
13 September
CHAMWINO: “Kaitumie sheria inayokupa mamlaka ya kuwafikisha mahakisha mahakamani wala rushwa ‘DIRECT’ bila kupita kwa yeyote” – RAIS MAGUFULI
Viongozi walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli, wamekula kiapo mbele yake katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma siku ya Jumatano Septemba 12, 2018. “Nenda ukafanye kazi.” Kauli ya Rais Magufuli akimuagiza Mkurugenzi wa mpya wa Taasisi ya Kusuia na Kupambana na …
Soma zaidi » -
13 September
MBEYA: Uzuri wa ziwa Ngosi Nchini Tanzania Lenye umbo la Afrika
Ziwa Ngosi linapatikana milima ya Upoto, Mkoa wa Mbeya nyanda za juu kusuni mwa Tanzania, ziwa hili linatajwa na mlipuko wa volkano ni tofauti na maziwa mengine kama ziwa victoria au ziwa nyasa. Upekee au utofauti wa ziwa hili ni kwamba ziwa hili liko juu ya milima na katikati ya …
Soma zaidi » -
13 September
Rais wa Tanzania amedhamiria na amejitoa mhanga kuijenga nchi ya Tanzania upyA+
DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI; •Rais wa Watanzania wa Hali ya chini, Masikini, wenye shida, wahitaji, wenye kumudu mlo wa siku kwa taabu; akiwa na lengo la kuwainua, kuwapa nguvu ya Kufanya Kazi na kupata kipato, • Rais mwenye kuwafanya watu wote wa nchi yake bila matabaka kuwa sehemu ya …
Soma zaidi » -
12 September
DODOMA: Ujenzi wa stendi kubwa, MpyA ya Dodoma waanza.
• Ujenzi unagharimu Tsh. Bilioni 35.4 • Ujenzi unatarajiwa kuchukua miezi 15 • Stendi hiyo itakabidhiwa kwa serikali tayari kwa matumizi mwezi Septemba 2019 Bilioni 77 za Mradi wa Tscp zatekeleza Agizo Rais JPM Jijini Dodoma. Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI. Mradi wa Mpango Miji Mkakati ‘Tanzania Strategic Cities Project’ maarufu kama …
Soma zaidi » -
11 September
ZANZIBAR…!
Wananchi wa Zanzibar wanahimizwa kuendelea kujitokeza kwenda kufanya uhakiki wa taarifa zao muhimu zinazohusu Utambulisho, Vizazi, Vifo, Talaka na Ndoa. Zoezi hilo litakalofanyika kwa miezi mitatu, linafanyika kidigitali, kazi ambayo inafanywa na Wakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii Zanzibar ambapo taarifa zote zitahifadhiwa kidogitali kwa teknolojia ya kisasa kwa …
Soma zaidi » -
11 September
IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Ally Hapi Atilia shaka Jengo la Milioni 55
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Ally Hapi akiwa katika ziara ya kutembelea Mkoa wake Katika ziara hii atatembelea tarafa zote 15 za Mkoa wa Iringa, kusafiri kilomita 2611, kufanya mikutano mikubwa 15 ya kusikiliza kero za waanchi tarafa kwa tarafa na kukagua miradi yenye thamani ya bilioni 78.1. “Nimekataa kuweka …
Soma zaidi » -
11 September
RAIS WETU… ni Jembe!!
• Awa mfano wa utatuzi wa Kero za wananchi. Migogoro ya ardhi, dhuluma, matatizo ya kero katika shule/elimu, ufanisi katika miradi, uwajibikaji na maamuzi yaliyowashinda viongozi wengine yametatuliwa katika kila eneo analosimama akiwa riarani • Ziara zake, zinaacha alama isiyofutika katika kila eneo alilopita. Barabara, hospitali, majengo, viwanja vya ndege, …
Soma zaidi » -
10 September
DSM: “Watu 11,669 wamekamatwa kwenye kampeni ya usafi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam” Paul Makonda
Watu 11,669 wamekamatwa kwenye kampeni ya usafi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Kati yao, watu 6,667 walipigwa faini na kuwezesha kupatikana kwa fedha kiasi cha Sh346 milioni, ambacho nusu yake imetumika kuwalipa mgambo ambao wanatekeleza kampeni hiyo. Akizungumza kwenye mkutano na wadau wa usafi na …
Soma zaidi » -
10 September
IRINGA: Asilimia 90 ya mitambo inayozalisha karatasi katika kiwanda cha Mgololo ni ile iliyonunuliwa na serikali ya awamu ya kwanza
Asilimia 90 ya mitambo inayozalisha karatasi katika kiwanda cha Mgololo ni ile iliyonunuliwa na serikali ya awamu ya kwanza ya Baba wa taifa hayati mwalimu Julius Nyerere miaka ya 1980. Nimetaka maelezo kwanini haujafanyika uwekezaji mpya wa kutosha?
Soma zaidi » -
10 September
BUNGENI: Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akikata utepe kuzinduzi Filamu ya ‘Bahasha’.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akikata utepe kuzinduzi Filamu ya ‘Bahasha’ iliyoandaliwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) kwa lengo la kuelimisha jamii juu ya mapambano dhidi ya vitendo vya Rushwa.
Soma zaidi » -
10 September
BUNGENI: Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai alipokutana na kuzungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai alipokutana na kuzungumza na Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Mhe. Jeroen Verhuel alipomtembelea. 10 Septemba, 2018 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma
Soma zaidi » -
10 September
Mhe. ANTONY MTAKA Ni nani? Historia yake hii hapa.
“Nimeuliza ripoti ya Wakuu wa Mikoa Tanzania wanaofanya vizuri, wakaniletea ANTHONY MTAKA ndiye Namba Moja, na Namba Mbili ni yeye. Kwa kifupi hana mfano” Mh. Rais Dr. JPM, Simiyu. Je ni nani huyu Mkuu wa Mkoa Mhe. MTAKA.. na ametokea wapi? Mheshimiwa MTAKA anajipambanua katika sifa zifuatazo:- 1. Mkuu wa …
Soma zaidi »