Taarifa ChanyA+
September, 2018
-
8 September
Live: Rais Magufuli akihutubia wananchi wa Busega mkoani Simiyu
Fuatilia kupitia link hii #SisiNiTanzaniaMpyA+
Soma zaidi » -
7 September
“Makao makuu (TAKUKURU) TOKA toka mwezi wa 4 hadi wa 9, Hawajashughulika! Ninaona mkurugenzi Mkuu akae pembeni, Akafanye kazi nyingine.’ – RAIS MAGUFULI
“Mtu amenunua Musoma Hotel hashughuliki.. Kila kandarasi hamalizi.. Waziri Mkuu akapita hapa.. Mara. Akitoa maagizo kwenye chombo cha PCCB.. – TAKUKURU shughulikia hili. Mkuu wa TAKUKURU wa mkoa wa Mara akalishughulikia. Akalimaliza mwezi wa nne (Aprili 2018)! Akalipeleka Makao Makuu (Makao Makuu ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa …
Soma zaidi » -
7 September
LIVE: Fuatilia Matangazo Ya Moja Kwa Moja Rais Magufuli anazungumza na Wananchi Tarime – Tarehe 7 septemba 2018
Rais Magufuli anazungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara katika viwanja vya chuo Ualimu
Soma zaidi » -
7 September
LIVE: Fuatilia Mubashara Kinachoendelea Bungeni Dodoma – Mkutano wa 12, Kikao Cha Nne Tarehe 7 Septemba 2018
Bunge la Tanzania: MKUTANO WA KUMI NA MBILI, KIKAO CHA NNE. SEPTEMBA 7, 2018. MASWALI NA MAJIBU.
Soma zaidi » -
6 September
MWENYEZI MUNGU AMLINDE NA AMJAALIE AFYA NJEMA RAIS MAGUFULI – MZEE MSEKWA
“Mwenyeji Mungu amjaalie Afya njema..ili aendelee kuijenga nchi yetu.., kuiongoza nchi yetu kwa miaka kumi; Isingekuwa juhudi zako Nyerere.., Taifa letu lingekuwa wapi.. Tutataka kumuimbia Rais Magufuli, Isingekuwa juhudi za Magufuli.. haya yangetoka wapi..” – Mzee Pius Msekwa, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 05/09/2018 Ikulu …
Soma zaidi » -
6 September
Live Rais Magufuli: Azungumza na Wananchi katika Mkutano wa Hadhara Serengeti Mkoa wa Mara – Tarehe 6 Septemba 2018
#NiSisiSisi Watanzania #MATAGA
Soma zaidi » -
6 September
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Mrisho Gambo Ameziagiza Halimashauri Zote za Mkoa Kusimamia Vyema Uukusanyaji wa Mapato.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo ameziagiza Halmashauri zote za Mkoa huo kusimamia vyema swala la ukusanyaji wa Mapato sambamba na kuipa ushirikiano wa kutosha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Mhe. Gambo ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru katika ziara yake …
Soma zaidi » -
6 September
MKUU WA WILAYA YA HAI ACHUKUA HATUA SHAMBA LA KIBO AND KIKAU ESTATE KUKWEPA KULIPA KODI YA SERIKALI MILI 700
MKUU wa wilaya ya Hai Mh. Lengai Ole Sabaya ameamuru kukamatwa na kuwekwa rumande kwa saa 48 Mkurugenzi wa Kampuni ya Tudi inayomiliki Shamba la Kibo and Kikafu Estate Bwana Jensen Natal pamoja na Manasheria wa kampuni hiyo Bwana Edward Mroso. mbali na kukamatwa kwa watu hao Mkuu huyo …
Soma zaidi » -
6 September
ALIYOYASEMA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA PROF. JOYCE NDALICHAKO WAKATI WA MAHOJIANO NA TBC TAIFA KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BODI YA KITAALAMU YA WALIMU
– Lengo la Bodi ni kuwa na Muundo na Chombo Cha Kisheria ili kutambua rasmi taaluma ya Ualimu kama zilivyo taaluma nyingine – Ili kutimiza malengo yaliyowekwa na Serikali katika Elimu, thamani ya walimu ni jambo ambalo linapewa kipaumbele sana. -Muswada wa Sheria ya bodi ya kitaalamu ya walimu umekuwa …
Soma zaidi » -
6 September
LIVE Rais Magufuli: Butiama Mkoani Mara – Tarehe 6 Septemba 2018
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Butiama mkoani Mara ambapo Mhe. Rais Dkt. Magufuli anazindua barabara ya makutano ya Natta – Magumu katika Wilaya ya Butiama yenye urefu wa km 135 kisha atazungumza na wananchi. Fuatilia kwa kubofya link hii 👇🏽 AU Sikiliza online Radio – Radio chanyA+ kwa …
Soma zaidi »