Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali italipa fidia kwa wananchi katika maeneo ambayo miradi ya Serikali imepita. Makamu wa Rais ameyasema hayo wakati akihutubia wakazi wa Manerumango kwenye uwanja wa shule ya msingi Maneromango wilayani Kisarawe mkoani Pwani. “Nataka niwahakikishie wananchi wote kila kipande cha ardhi cha mtu …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
October, 2018
-
27 October
VIJIJI PEMBEZONI MWA HIFADHI ZA TAIFA KUNUFAIKA NA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI
Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi (NLUPC) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) imeanza kazi ya uandaaji wa mipango ya matumizi ya ardhi katika Wilaya na vijiji vinavyozunguka hifadhi za Taifa za wanyamapori ili kulinda mipaka ya hifadhi za Taifa pamoja na kuondoa migogoro …
Soma zaidi » -
26 October
MAKAMU WA RAIS AENDELEA NA ZIARA MKOA WA PWANI
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea na ziara ya kukagua na kuhamasisha shughuli za kimaendeleo katika mkoa wa Pwani ambapo leo ametembelea Wilaya ya Mkuranga. Katika ziara yake wilayani Mkuranga Makamu wa Rais alitembelea kiwanda cha kutengeneza Gypsum (Gypsum Board) cha Knauf kilichopo Mwanambaya, akiwa kiwandani hapo Makamu wa …
Soma zaidi » -
26 October
WANAFUNZI 12 WA VYUO VIKUU KWENDA MAURITIUS KUJIFUNZA ELIMU YA MASOKO YA MITAJI
Wadau wamekuwa na mwamko katika sekta ya fedha ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali katika kutekeleza mikakati mbalimbali ya kisera kwa lengo la kuongeza uwelewa na kukuza uwekezaji kupitia masoko ya mitaji. Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Philip Mpango ameyasema hayo wakati wa kutoa zawadi kwa washindi wa shindano …
Soma zaidi » -
25 October
MAONESHO HAYA NI FURSA MUHIMU KWA WAJASIRIAMALI – Dkt. TIZEBA
Waziri wa kilimo Dkt Charles Tizeba amewataka wajasiriamali kote nchini kuchangamkia fursa ya kutembelea katika Maonesho ya Kitaifa ya Viwanda Vidogo (SIDO), yanayofanyika katika Viwanja vya Nyakabindi katika Halmashauri ya mji wa Bariadi mkoani Simiyu. Katika maonesho hayo ambayo yalianza Oktoba 23 mwaka huu, Dkt Tizeba amesema kuwa hiyo ni …
Soma zaidi » -
25 October
TUNAFIKISHA MAJI SAFI VIJIJINI KWA 85% 2020 – MAMA SAMIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ya awamu ya tano imeendelea kutekeleza ahadi ya kusambaza maji mijini na vijijini ambapo mpaka ifikapo mwaka 2020 inategemea maji yatakuwa yamefika vijijini kwa asilimia 85% na mjini asilimia 90%. Makamu wa Rais ameyasema hayo …
Soma zaidi » -
25 October
BANDARI ZOTE KUBWA KUFUNGWA FLOW METERS
Ni Bandari Zote Zinazopokea Mafuta ghafi nchini Katika kuhakikisha Bandari zote nchini zinafanya kazi ipasavyo kama inavyotakiwa Serikali imesema utaratibu za ufungaji wa flow meter katika bandari zote nchini ziko katika hatua za mwisho baada ya taratibu zote kukamilika. Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, amsema hayo wakati wa kikao …
Soma zaidi » -
25 October
NECTA: MATOKEO YOTE YA MTIHANI DARASA LA SABA 2018
BOFYA HAPA KUONA MATOKEO YOTE
Soma zaidi » -
24 October
LIVE: KONGAMANO LA MAKAMPUNI BORA 100 YA KATI TANZANIA.
#MATAGA #SisiNiTanzaniaMpyA+
Soma zaidi » -
23 October
MATUMIZI YA GESI KUZALISHA UMEME YAOKOA USD 10.29 BILIONI
Imeelezwa kuwa, matumizi ya gesi asilia katika kuzalisha umeme yameokoa fedha za kigeni kiasi cha Dola za Marekani bilioni 10.29 ambazo zingetumika kununua mafuta nje ya nchi kwa ajili ya kuzalisha umeme kutoka mwaka 2004 hadi Septemba 2018. Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo …
Soma zaidi » -
23 October
JK – JPM Anafanya Kazi Nzuri Sana!
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Baada ya mazungumzo yao Mhe. Rais Mstaafu Kikwete amesema wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu. “Nimekuja kumsalimia nakumtakia …
Soma zaidi » -
23 October
UFAFANUZI WA UDAHILI WA WANAFUNZI MWAKA WA KWANZA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM.
Ni ule wa kufutiwa kuchaguliwa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2018/19 zaidi ya 680. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – Taaluma Prof. Bonaventure Rutinwa atoa ufafanuzi. Fuatilia katika video hii Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako atoa maelekezo kwa Chuo …
Soma zaidi »