Kazi ya ujenzi wa kituo cha kupoza umeme Nyakanazi ikiendelea. Taswira hii ilinaswa wakati wa ziara ya Timu ya Serikali inayosimamia Mradi wa Umeme wa Rusumo, kukagua maendeleo ya utekelezaji wake, Septemba 30, 2020. Kituo hicho kinatarajiwa kukamilika Februari, 2021. Serikali imehimiza kukamilishwa kwa wakati, ujenzi wa kituo cha kupoza …
Soma zaidi »Waziri Mkuu
October, 2020
-
1 October
TARURA YATEKELEZA MIRADI YA AHADI ZA RAIS WILAYANI MULEBA
Na. Erick Mwanakulya, Kagera. Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), unaendelea kutetekeleza miradi ya Ahadi za Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kukamilisha ujenzi wa Barabara zenye urefu wa Km 2.76 kwa kiwango cha lami katika Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera. Akizungumza wakati wa ukaguzi …
Soma zaidi »
September, 2020
-
29 September
MRADI WA UMEME RUSUMO UNA MANUFAA MTAMBUKA KWA WATANZANIA – SERIKALI
Veronica Simba – Ngara Serikali imeeleza kuwa Mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia maporomoko ya maji ya Mto Kagera, unaotekelezwa Rusumo wilayani Ngara, una manufaa mtambuka kwa Watanzania. Hayo yalielezwa jana, Septemba 28, 2020 na Timu ya Serikali kutoka Tanzania inayosimamia Mradi huo ikihusisha Wakurugenzi wa Bodi na Kamati ya …
Soma zaidi » -
29 September
UJENZI WA KITUO CHA AFYA MUGETA, HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA MKOANI MARA
Nyumba ya mtumishi kituo Cha afya Mugeta, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara Jengo la Upasuaji kituo Cha afya Mugeta, Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara Jengo la maabara katika kituo cha afya Mugeta Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara Chumba cha kuifadhia maiti katika kituo cha …
Soma zaidi » -
28 September
DKT. KALEMANI AZINDUA REA KITONGOJI KWA KITONGOJI
Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza na wananchi Kitongoji cha Migombani,kijiji cha Bukene, Wilaya ya Nzega, Mkoani wa Tabora(hayapo pichani), wakati wa uzinduzi wa mradi wa umeme kwa kila kitongoji nchini uliofanyika, Septemba 24,2020,mkaoni humo. Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani amezindua rasmi usambazaji wa Umeme katika kila kitongoji nchini ambapo …
Soma zaidi » -
28 September
DKT. KALEMANI APIGA MARUFUKU MKANDARASI KUPEWA KAZI ZA REA ZAIDI YA MKOA MMOJA
Na Zuena Msuya na Hafsa Omari, Tabora Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kuanzia sasa ni marufuku kwa wakandarasi watakaotekeleza miradi Ya usambazaji wa umeme vijijini( REA), kupewa kazi katika mikoa miwili na badala yake sasa watapewa kwa kila wilaya bila kujali idadi ya vijiji vilivyopo. Dkt. Kalemani alisema …
Soma zaidi » -
25 September
MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO WAUNGANISHA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kabla ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba wa makubaliano wa kuunganisha Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano na visiwa vya Unguja na Pemba wakiwa kwenye ukumbi wa Wizara ya …
Soma zaidi » -
25 September
KITUO CHA AFYA BWISYA CHAPANDISHWA HADHI KUWA HOSPITALI YA WILAYA – MAJALIWA
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amepandisha hadhi ya kituo cha afya cha Bwisya kilichoko Ukara wilayani Ukerewe, Mwanza kiwe na hadhi ya hospitali ya wilaya kuanzia leo. Hayo yamesemwa na mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa wakati akizungumza na wakazi …
Soma zaidi » -
25 September
DOTO JAMES: MIRADI YA KIMKAKATI INAYOTEKELEZWA NCHINI NI KWA MUJIBU WA SHERIA
Na. Farida Ramadhani na Ivona Tumsime, WFM, Dodoma Serikali imesema kuwa miradi yote mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa nchini imeshapangwa ndani ya bajeti za kisekta za Wizara husika ambazo hupitishwa na Bunge kila mwaka. Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Doto James wakati wa ufunguzi …
Soma zaidi » -
24 September
AJIRA ZAIDI YA 2,000 ZIMEPATIKANA WILAYANI SIHA MKOANI KILIMANJARO
Na, Pius Ntiga, Siha. Zaidi ya ajira 2,000 zimepatikana katika Wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro kwa kipindi cha miaka mitano za wananchi kufanya kazi katika miradi mbalimbali ukiwemo wa Shamba la Mwekezaji la Maparachichi-Africado. Miradi hiyo mikubwa ya Mwekezaji Africado lililopo Kijiji cha Kifufu pamoja na ule wa Shamba la …
Soma zaidi » -
24 September
MAHUSIANO YA TANZANIA NA WAWEKEZAJI NI MAZURI – FONS NIJENHUIS
Na, Pius Ntiga, Moshi Zaidi ya Hekari 250 zinatumika katika uwekezaji wa Shilingi Bilioni 6 tangu Mwaka 2003 na kufanikiwa kutoa ajira kwa Watanzania zaidi ya 1,000 katika Shamba la Mwekezaji wa Maua la Vasso linalomilikiwa na raia wa Uholanzi, Fons Nijenhuis lililopo Kijiji cha Dakau Wilaya ya Moshi Mkoani …
Soma zaidi » -
22 September
MAUZO YA KOROSHO YA TANZANIA YAMEONGEZEKA KUTOKA TANI 27 MWAKA 2017 HADI KUFIKIA TANI 1007 MWAKA 2020 NCHINI CHINA
China imeahidi kununua zaidi bidhaa za kilimo na Uvuvi kutoka Tanzania ahadi hiyo imetolewa leo jijini Beijing katika Mkutano wa Balozi Kairuki na Rais wa Taasisi ya China Chamber of Import and Export of Foodstuff Ndugu CAO Derong Mauzo ya bidhaa za baharini kutoka Tanzania Bara na Zanzibar- Ornament Spinal …
Soma zaidi » -
21 September
TANZANIA IMETAJWA KAMA NCHI YA KIELELEZO CHA AMANI NA DEMOKRASIA KATIKA BARA LA AFRIKA
Norway yaitaja Tanzania kama kielelezo cha amani na demokrasia katika chaguzi Barani Afrika kutokana na mchakato wa kampeni za uchaguzi mkuu unavyofanyika kwa amani,utulivu na usawa kwa wagombea wa vyama vyote huku wananchi wakijitokeza kwa wingi kusikiliza sera za wagombea. Balozi wa Norway nchini Tanzania Balozi Elisabeth Jacobsen ameyasema hayo …
Soma zaidi » -
21 September
JNHPP MRADI PEKEE AFRIKA KUZUIA GESI JOTO, TANI MILIONI 7, DUNIANI KWA MWAKA
Na Zuena Msuya, Morogoro Timu ya Kitaifa ya Wataalamu inayofuatilia hali ya uhifadhi wa rasilimali ya Maji ya Bonde la Mto Rufiji, imesema kuwa mradi wa kuzalisha umeme wa maji wa Julius Nyerere( JNHPP)uzuia Gesi Joto ya takribani Tani Milioni 7.6 katika uso wa dunia( Ozone layer) kwa mwaka mzima …
Soma zaidi » -
21 September
WATU 18 WAKUTWA NA SHINIKIZO LA DAMU, ZAIDI YA ASILIMIA 50 WANA UZITO ULIOPITILIZA, JUKWAA LA ONE STOP JAWABU – MBAGALA
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Zenais Ngowi akitoa maelekezo ya jinsi ya kujaza fomu ya uelewa wa magonjwa ya moyo kwa mwananchi aliyetembelea banda la Taasisi hiyo katika viwanja vya Mbagala Zakheem wilayani Temeke kupitia jukwaa la One Stop Jawabu ambapo Taasisi hiyo ilitoa bila malipo …
Soma zaidi »