Na. WAMJW-Dodoma Wanataaluma wote wa sekta ya afya nchini wametakiwa wawe wamejisajili, na kuhuisha leseni kwenye mabaraza yao ya kitaalam ndani ya miezi sita kuanzia sasa. Aidha kwa wale ambao wamejiendeleza zaidi kitalaamu wanatakiwa kuwasilisha(update) vyeti vyao vya viwango katika mabaraza ili kutambulika kisheria na kitaaluma. Rai hiyo imetolewa leo …
Soma zaidi »Waziri Mkuu
September, 2020
-
17 September
KILIMO CHA UMWAGILIAJI KIMEONGEZA UZALISHAJI WA MPUNGA TOKA WASTANI WA TANI 4.0 MWAKA 2014 HADI TANI 7.2 KWA MWAKA 2019
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya amewaeleza wahandisi wa umwagiliaji mikoa kuwa wana deni la kurejesha imani kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutekeleza miradi yenye ubora na tija ya uzalishaji mazao ya wakulima kwa kuwa fedha nyingi za umma zinatumika. Katibu Mkuu amesema hayo mkoani Morogoro …
Soma zaidi » -
17 September
WATANZANIA WAASWA KUTUMIA MPANGO WA FEDHA ILI KUJILETEA MAENDELEO
Na Immaculate Makilika na Jonas Kamaleki- MAELEZO Serikali yawataka watanzania kutumia Mpango Mkuu wa Maendeleo wa Sekta ya Fedha ya mwaka 2020/21 hadi 2029/30 ili kujiletea maendeleo kwa ajili ya kukuza uchumi wa nchi. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa uzinduzi wa mpango huo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha …
Soma zaidi » -
17 September
TAASISI YA MOYO JKCI KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO KIKUU MUHAS YAANZISHA KLINIKI MAALUM KWA WAGONJWA WA SIKOSELI WANAOKABILIWA NA MAGONJWA YA MOYO
Na Mwandishi Maalum – Dar es Salaam Kliniki maalum kwa ajili ya kuhudumia wagonjwa wa sikoseli ambapo wanaokabiliwa pia na magonjwa ya moyo imeanzishwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kliniki hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Pro. Mohamed Janabi amesema wameshirikiana na Chuo Kikuu …
Soma zaidi » -
17 September
HATUA ZA KISHERIA KUCHUKULIWA KWA TAASISI ZA UMMA ZITAKAZO ANZISHA MIFUMO YA FEDHA BILA KIBALI
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Bw. Doto James akizungumza wakati wa halfa ya kupokea ripoti ya tathimini ya Mfumo wa Kielektroniki ya Ukusanyaji wa Mapato na Usimamizi wa Fedha za Umma, ambapo amewaagiza Afisa Masuhuli wote nchini kutotengeneza mifumo yoyote bila kupata kibali …
Soma zaidi » -
16 September
STAMICO YANUNUA MITAMBO MITATU YA UCHORONGAJI MADINI
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeagiza mitambo mitatu ya uchorongaji yenye teknolojia ya kisasa zaidi kuwahi kutumika hapa nchini, ambapo mmoja wa mtambo huu unauwezo wa kuendeshwa kwa kutumia computer na mtu akiwa mbali na mashine Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Madini Prof Simon Msanjila katika uzinduzi …
Soma zaidi » -
15 September
NCHI 15 ZARUHUSIWA KULETA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020
Balozi wa Umoja wa Ulaya Balozi Manfred Fanti akimuelezea jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi walipokutana kwa mazungumzo leo jijini Dar es Salaam Nchi 15 kupitia Balozi zao hapa nchini zimeruhusiwa kuleta waangalizi wa Kimataifa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi …
Soma zaidi » -
14 September
SERIKALI YAFUNGA MASHINE YA KISASA UCHUNGUZI SARATANI YA MATITI ORCI
Serikali imesimika mashine kisasa ya mammography ambayo ni maalum kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa saratani ya matiti, katika Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI).Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa ORCI, Dk. Crispin Kahesa amesema hayo alipozungumza na waandishi wa habari mapema hii leo na kusisitiza kwamba mashine hiyo ipo …
Soma zaidi » -
14 September
BALOZI MBELWA ATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA TEKNOLOJIA YA KUZALISHA UMEME WA JUA NCHINI CHINA
Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki atembelea kiwanda cha kinachotengeneza teknolojia ya kuzalisha umeme wa jua jijini Shenzen Balozi wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki atembelea kiwanda cha kinachotengeneza teknolojia ya kuzalisha umeme wa jua jijini Shenzen ambapo amesema kuwa ujumbe wa kampuni hiyo utatembelea Tanzania mwezi Desemba 2020 …
Soma zaidi » -
11 September
RC WANGABO AINGILIA KATI UJENZI WA STENDI KUU YA MABASI SUMBAWANGA BAADA YA KUONA UNASUASUA
Mkuu wa mkoa wa Rukwa mh. Joachim Wangabo (katikati) alipotembelea Stendi kuu ya Mabasi Sumbawanga ili kujionea maendeleo ya ujenzi wa stendi,Kulia ni mkurugenzi wa Sumry Enterprises Ltd Humud Sumry pamoja na Meneja TARURA Manispaa ya Sumbawanga Mhandisi Suleiman Mziray Baada ya kuona ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi Sumbawanga …
Soma zaidi » -
3 September
BODI YA MIKOPO YATOA HUDUMA KWENYE MAONESHO YA TCU KATIKA VIWANJA VYA TCU
3. Mkurugenzi Msaidizi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Sarah Fihavango akitoa ufafanuzi kwa mmoja wa wateja aliyembetelea Banda la HESLB jana Jumatano (Septemba 2, 2020) katika maonesho ya 15 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jiijini Dar …
Soma zaidi » -
2 September
SERIKALI YAPOKEA GAWIO LA BILIONI 32.9 KUTOKA AIRTEL
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (wa kwanza kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa Kampuni ya Airtel Tanzania Bi. Beatrice Singano akifafanua jambo baada ya Kampuni hiyo kutoa gawio na michango ya maendeleo kwa Serikali yenye thamani ya shilingi bilioni 32.99. Kuanzia …
Soma zaidi »
August, 2020
-
31 August
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU PROF. JAMES MDOE ATETA NA MENEJIMENTI YA BODI YA MIKOPO
Ismail Ngayonga, Dar es salaam NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe leo (Jumatatu, Agosti 31, 2020) amefanya ziara ya kikazi katika ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Jijini Dar es Salaam ili kukagua utendaji kazi na kuwataka watumishi …
Soma zaidi » -
31 August
HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA MARA (KWANGWA) IMEANZA KUTOA HUDUMA YA MAGONJWA YA NJE (OPD) NA KITENGO CHA MAMA NA MTOTO
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara (Kwangwa) iliyoasisiwa na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere mwaka 1977 imeanza kutoa huduma ya magonjwa ya nje (OPD) na kitengo cha Mama na mtoto. Hii inafuatia baada ya Waziri Ummy Mwalimu kufanya ziara katikati ya mwezi huu na kuitaka Hospitali hiyo …
Soma zaidi » -
31 August
TIC NA SERIKALI YA MKOA WA LINDI WAANZISHA DAWATI LA UWEKEZAJI KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO
Serikali Mkoani Lindi kwa kushirikiana na Kituo cha Uwekezaji Tanzania-TIC wameanzisha Dawati maalum la uwekezaji ambapo masuala yote yanayohusu uwekezaji sasa yanashughulikiwa kupitia katika dawati hilo ambalo lengo lake ni kuwaweka karibu na kuwahudumia kwa upekee Wawekezaji wa Mkoa huo pamoja na kutangaza fursa zilizopo. Mkuu wa Wilaya ya Lindi …
Soma zaidi »