SERIKALI KUJENGA VIVUKO VIPYA VIWILI

TM 1-01
Serikali kupitia TEMESA imezindua rasmi ujenzi wa vivuko vipya viwili vya kisasa vitakavyotoa huduma ya kusafirisha abiria , mizigo na magari kati ya Bugorola – Ukara Wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza na Chato – Nkome Wilaya ya Chato mkoani Geita.
TM 3-01
Serikali kupitia TEMESA imezindua rasmi ujenzi wa vivuko vipya viwili vya kisasa vitakavyotoa huduma ya kusafirisha abiria , mizigo na magari kati ya Bugorola – Ukara Wilaya ya Ukerewe Mkoa wa Mwanza na Chato – Nkome Wilaya ya Chato mkoani Geita.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI INATARAJIA KUJENGA MINARA 5 YA MAWASILIANO WILAYANI MAFIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mh. Injinia Atashasta Nditiye (Mb.) amezindua mnara wa Mawasiliano …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *