Maktaba ya Kila Siku: August 20, 2020

NAIBU WAZIRI MABULA AISHUKIA HALMASHAURI YA USHETU KUSHINDWA KUTOA HATI KWA MIAKA MINNE

Na Munir Shemweta, WANMM USHETU Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ameshangazwa na halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga kushindwa kutoa Hati ya Ardhi hata moja kwa wananchi katika kipindi cha miaka minne. Dkt Mabula alishangazwa na hali hiyo akiwa katika ziara yake ya kikazi …

Soma zaidi »