Maktaba ya Kila Siku: August 12, 2020

NAIBU WAZIRI SIMA APIGA MARUFUKU UOKOTAJI WA CHUPA ZA PLASTIKI DAMPO

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Sima akitoa maelekezo kwa Bw. Vanika Ndelekwa Mkuu wa Idara ya Mazingira wa Jiji la Mbeya mara baaada ya Naibu Waziri Sima kutembelea dampo la Nsagala Jijini Mbeya Halmashauri ya Jiji la Mbeya imeagizwa  kuanzisha programu maalumu ya kutoa …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI MABULA AWATAKA WATENDAJI ARDHI KUTOA ELIMU YA SHERIA MPYA YA FEDHA KUHUSU UMILIKISHAJI ARDHI

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula akizungumza na viongozi pamoja na watendaji wa sekta ya ardhi katika wilaya ya Biharamulo katika ziara yake ya kikazi mkoani Kagera. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo Kanali Mathias Kahabi jana. Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba …

Soma zaidi »