WAFANYABIASHARA TANZANIA SASA WANAWEZA KUTAFUTA MASOKO NCHINI CHINA KUPTIA E-COMMERCE

BALOZI KAIRUKI
Balozi wa Tanzania Nchini China Mbelwa Kairuki akiwa katika kikao kazi katika jimbo la Sichuan
  • Makampuni ya Tanzania yametafutiwa fursa ya kutafuta masoko ya bidhaa zake nchini China kwa njia ya mtandao, hayo yameelezwa  na Mwenyekiti wa Kampuni ya China-Africa E-Commerce ndugu Zhigang Hou alipokutana na Balozi wa Tanzania Nchini China Mbelwa Kairuki jijini Chengdu katika jimbo la Sichuan.
BALOZI
Balozi wa Tanzania Nchini China Mbelwa Kairuki akiwa katika kikao kazi katika jimbo la Sichuan
CHINA-2
Balozi wa Tanzania Nchini China Mbelwa Kairuki akiwa na wadau wa biashara ya mtandao katika jimbo la Sichuan
  • Makampuni ya Tanzania yanayohitaji kuuza bidhaa katika soko la China yamekaribishwa kutumia mtandao (E-commerce platform) – ulioanzishwa mahususi kwa ajili ya kuyakutanisha makampuni yanayonunua na kuuza bidhaa mbalimbali katika masoko ya China na Afrika.

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA KIWANDA CHA KUCHAKATA BETRI CHAKAVU CHA HUATAN

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *