Recent Posts

KAMPENI KAMBAMBE YA MAZINGIRA KUZINDULIWA – WAZIRI JAFO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Selemani Jafo amesema Ofisi yake inaandaa Kampeni kubwa ya Mazingira itakayoenda sambamba na mashindano katika ngazi mbalimbali ikihusisha upandaji miti, utunzaji na usafi wa mazingira kwa ujumla wake. Akizungumza wakati wa kikao kazi na Menejimenti ya Ofisi yake pamoja …

Soma zaidi »

WAKULIMA WA TUMBAKU KUPATA NEEMA KUPITIA USHIRIKA

Mradi wa Pamoja wa Wakulima wa zao la Tumbaku Tobbacco Cooperative Joint Enterprise Limited (T.C.J.E) wametakiwa kutumia mfumo wa Ununuzi wa Pamoja Bulk Procurement (B.P.S) kwa lengo la kusaidia wakulima wa Tumbaku kupitia Vyama vya Ushirika kupata pembejeo za kilimo kwa bei nafuu.Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri wa Kilimo …

Soma zaidi »

RAIA WA POLAND NA MKE WAKE MIAKA 30 JELA KWA KULIMA BANGI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imewahukumu kifungo cha miaka 30 gerezani washtakiwa Damian Jankowsky Krzysztof raia wa Poland na mke wake Eliwaza Raphael Pyuza Mtanzania kwa makosa ya kulima mimea 729 ya bangi na kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi kiasi cha kilogramu 17.2 kinyume cha sheria. Vilevile, Mahakama …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AWATAKA MAWAZIRI NA WATAALAMU WA TANZANIA NA KENYA (JPC) KUKUTANA MARA MOJA ILI KUFANYIA KAZI MASUALA MBALIMBALI YA KUIMARISHA UHUSIANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tarehe Aprili, 2021 amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Kenya, Uhuru Muigai Kenyatta uliowasilishwa na Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa Kenya, Balozi Dkt. Amina Mohamed. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu …

Soma zaidi »