Serikali kupitia Mfuko wa Barabara (Road fund) imesema ipo tayari kupitisha kiasi cha shilingi bilioni nne kwa ajili ya kumlipa mkandarasi atakaepatikana ili kuboresha miundombinu ya jangwani mara baada ya uhakiki wa makisio hayo kukamilika na kujiridhisha. Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa Bodi ya mfuko huo, Mwenyekiti wa Bodi …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
December, 2020
-
3 December
WAZIRI MKUU AWAONYA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kali kwa wataalamu wa ununuzi na ugavi ambao bado wanaendekeza vitendo viovu kama rushwa, upendeleo, kuingilia michakato ya ununuzi kwamba waache mara moja kwani Serikali haitomhurumia yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo hivyo. Waziri Mkuu ametoa onyo hilo leo (Jumatano, Desemba 2, 2020) alipofungua Kongamano …
Soma zaidi » -
3 December
RAIS WA UFARANSA AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUIWEZESHA TANZANIA KUINGIA KATIKA NCHI YA UCHUMI WA KATI
Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron amemwandikia barua ya pongezi Rais wa Jamhuri ya wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuiwezesha Tanzania kuingia katika hadhi ya nchi ya uchumi wa kati ikiwa ni miaka mitano kabla ya muda uliotarajiwa. Katika barua hiyo Rais wa Ufaransa Mhe Emmanuel Macron amempongeza …
Soma zaidi » -
3 December
RAIS WA UFARANSA AMWANDIKIA BARUA RAIS DKT. MAGUFULI
Serikali imesema katika kipindi cha pili cha awamu ya pili ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli itajikita zaidi katika kuboresha uwekezaji wa ndani na nje ya nchi na kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika kujenga uchumi wa nchi. Waziri wa Mambo ya …
Soma zaidi » -
2 December
MAONESHO YA TANO YA BIDHAA ZA VIWANDA VYA TANZANIA KUFANYIKA KUANZIA TAREHE 3 – 9 DISEMBA 2020
Dar es Salaam Wizara ya Viwanda,na Biashara kupitia taasisi yake ya Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) inawakaribisha Watanzania wote kutembelea Maonesho ya Tano ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yatakayoanza tarehe 3 hadi 9 Desemba, 2020. Uanzishwaji wa Maonesho haya yalilenga kuhakikisha Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda unakuwa …
Soma zaidi » -
2 December
SEKTA YA VIWANDA NI MUHIMILI KATIKA KUKUZA UCHUMI WA NCHI
NA Beatrice Sanga- MAELEZO Sekta ya Viwanda ni moja ya sekta zinazochangia pato la Taifa na kutoa ajira kwa wafanyakazi wengi hususan vijana wanaofanya kazi katika viwanda vidogo na vya kati. Sekta hii ina wajibu wa kukuza viwanda ikiwa ni pamoja na kuongeza ujuzi kwa vijana hawa na kuleta mabadiriko ya kiuchumi …
Soma zaidi » -
2 December
RC KUNENGE KUKUTANA NA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI DAR DISEMBA 10
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge anatarajia kukutana na Wafanyabiashara na Wawekezaji Jijini humo mnamo Disemba 10 Mwaka huu kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere posta. RC Kunenge amesema lengo la mkutano huo ni kuweka mazingira Bora ya Uwekezaji na biashara ili kila mmoja aweze …
Soma zaidi » -
1 December
HESLB YATOA AWAMU YA TATU YA MIKOPO YA TZS BILIONI 11.04 KWA WANAFUNZI WAPYA 3,544
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya Awamu ya tatu yenye jumla ya wanafunzi wapya 3,544 waliopangiwa mikopo kwa mara ya kwanza katika mwaka wa masomo 2020/2021 yenye thamani ya TZS 11.04 bilioni. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari leo Jumanne Desemba Mosi, 2020 …
Soma zaidi » -
1 December
TARURA INAVYOTATUA KERO ZA WANANCHI MANISPAA YA LINDI
Na. Bebi Kapenya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeendelea kusimamia na kufanya ukarabati wa miundombinu ya barabara na madaraja katika maeneo mbalimbali Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani Lindi. Meneja wa TARURA Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, Mhandisi Lusekelo Mwakyami alisema kuwa wameshakamilisha ujenzi wa barabara kwa …
Soma zaidi » -
1 December
CHINA NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIMKAKATI
China imesema itafanya kazi kwa ukaribu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa 2020 ili kuiwezesha Tanzania kupiga kwa haraka hatua za kimaendeleo kwa faida ya pande zote mbili. Hayo yamo katika barua ya pongezi iliyotumwa na Waziri wa Mambo ya Nje …
Soma zaidi » -
1 December
PROF. KABUDI AKUTANA NA MABALOZI WA CHINA,FINLAND NA SWEDEN
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Sweden hapa Nchini Mhe Anders Sjoberg.Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dar es Salaam. Waziri wa …
Soma zaidi » -
1 December
MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKUTANA NA WANANCHI WA KATA YA BWILINGU NA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na wananchi wa Bwilngu Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake jimboni hapo kwa kutembelea na kuzungumza na wananchi wa Kata ya Bwilingu. Akizungumza katika kueleza nia ya ziara hiyo amesema kuwa dhamira ya ziara hiyo …
Soma zaidi » -
1 December
BALOZI IBUGE ATAMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ETHIOPIA
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali Wilbert A. Ibuge akisaini kitabu cha wageni katika Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini …
Soma zaidi »
November, 2020
-
30 November
MADINI KUCHANGIA MABILIONI PATO LA TAIFA
Na Jonas Kamaleki, MAELEZO Tanzania imejaliwa kuwa na maliasili nyingi zinazoweza kuifanya nchi hii kuondokana kabisa na umasikini na utegemezi, hivyo kujiendesha bila kutegemea misaada toka nje ya nchi. Licha ya kuwa na hifadhi za taifa za wanyama, bahari, maziwa, mito na milima na mabonde, nchi hii imejaliwa pia kuwa …
Soma zaidi » -
30 November
WANANCHI WILAYANI NANYUMBU WAIPONGEZA TARURA KWA KUBORESHA MIUNDOMBINU
Na. Thereza Chimagu Wananchi wa Vijiji vya Makong’ondela, Pachani na Kilimanihewa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara wamepongeza Serikali kwa kuboresha miundombinu ya barabara, madaraja, vivuko na mitaro wilayani hapo ikiwa ni sehemu ya kufungua fursa za kiuchumi na ukuaji wa miji katika maeneo mbalimbali nchini. Wakizungumza katika …
Soma zaidi »