LIVE Rais Magufuli: Butiama Mkoani Mara – Tarehe 6 Septemba 2018

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Butiama mkoani Mara ambapo Mhe. Rais Dkt. Magufuli anazindua barabara ya makutano ya Natta – Magumu katika Wilaya ya Butiama yenye urefu wa km 135 kisha atazungumza na wananchi.

Fuatilia kwa kubofya link hii 👇🏽

Ad

AU

Sikiliza online Radio – Radio chanyA+ kwa kubofya link hii 👇🏽

http://matokeochanya.co.tz/2018/08/31/link-ya-radio-chanya/

Rais wetu.. yupo kazini

Nchi yetu… inapata Matokeo ChanyA+ katika kukuza na kujenga uchumi imara na madhubuti kwa Watanzania wote.

#MATAGA

Ad

Unaweza kuangalia pia

ALPHONCE SIMBU ASHINDA MEDALI YA FEDHA KATIKA MBIO ZA KM 42, MBIO NDEFU YA MAJESHI YA DUNIA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *