TUMEDHAMIRIA KUONGEZA WIGO UPASUAJI – DKT. KAJUNGU

  • Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Mkoani kilichopo mkoani Pwani katika Halmashuri ya Kibaha Mji Dkt. Godfrey Kajungu, amesema kuwa wamejizatiti kuongeza wigo wa utoaji wa huduma za upasuaji katika kituo hicho mara baada ya serikali kuwapatia Milioni 500 katika awamu tatu ya mpango wa serikali wa kuimarisha miundombinu ya Afya nchini.
  • Akizungumza muda mfupi mara baada ya Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, anayeshughulikia Afya Dkt. Dorothy Gwajima, Daktari Kajungu alisema kituo ca Afya cha mkoani ni moja vituo tegemeo katika Wilaya hiyo kutokana na kuhudumia wananchi zaidi 100 kwa siku wanaofika kwa matatizo mbalimbali ya kiafya.
  • “Kama mlivyosikia Naibu Katibu Mkuu ameagiza ndani ya wiki mbili jengo hili la upasuaji liwe limeanza kazi, sisi tunamthibitishia kuwa ifikapo tarehe 09 Februari, 2020 tutaanza shughuli za upasuaji katika jengo hili jipya ili kuwarahisishia wananchi huduma za afya.” Alisema Dkt. Kajungu.
111-01
Naibu Katibu Mkuu Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Dorothy Gwajima akiwa anakagua jengo jipya la upasuaji la Kituo cha Afya mkoani ambapo ametoa siku 14 kiwe kimeanza kazi. (Picha na OR-TAMISEMI)
  • Akizungumza mara baada ya kutembela majengo hayo mapya yaliyopokea milioni 500 mwezi Mei,2028 kwa ajili ya ujenzi na upanuzi wa baadhi ya huduma, Naibu Katibu Mkuu Dkt. Dorothy Gwajima, aliutaka uongozi wa kituo hicho kuanza kutoa huduma hasa ikizingatiwa kuwa kituo hicho kipo umbali wa mita zisizozidi mita 400 hivyo uwepo wa huduma za upasuaji ni muhimu katika kuokoa maisha endapo dharura imetokea, lakini pia kituo hicho kwa sasa ndio kinatumika kama Hospitali ya Wilaya hadi hapo Hospitali ya Wilaya itakapo kamilika.
  • Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mganga mfawidhi wa kituo hicho, kituo cha Afya mkoani kina jumla ya Madaktari 9, madaktrari wasaidizi 4, Matabibu 4 na Maafisa wauguzi 3 Wauguzi wasaidizi 20, Wakunga 19 wataalamu wa maabara 10 na wataalamu wa Utrasound 2 idadi ambayo imetajwa kukidhi mahitaji  kwa sasa.
  • Naibu katibu mkuu yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi kukagua huduma za Afya, ikiwa ni muendelezo wa kuhakikisha katika kila kituo na Hospitali huduma za Afya zinatolewa kwa ubora ili wananchi waendelee kuvutiwa na kuendelea kuziamini Hospitali na Vituo hivyo kwani hali ya upatikanaji wa huduma kwa sasa imezidi kuboreshwa katika awamu hii ya tano. Na. Atley Kuni Kibaha- PWANI
Ad

Unaweza kuangalia pia

NAIBU WAZIRI SIMA – MIFUKO MBADALA ISIYOKIDHI VIWANGO MARUFUKU NCHINI

Serikali imesema kamwe haitaruhusu uzalishaji, uingizaji na matumizi ya mifuko mbadala aina ya Non-Woven isiyokidhi …

399 Maoni

  1. RDBox.de https://rdbox.de bietet schallgedammte Gehause fur 3D-Drucker, die eine sehr leise Druckumgebung schaffen – nicht lauter als ein Kuhlschrank. Unsere Losungen sorgen fur stabile Drucktemperatur, Vibrationsisolierung, Luftreinigung und mobile App-Steuerung.

  2. N’Golo Kante https://al-ittihad.ngolokante-ar.com the French midfielder whose career has embodied perseverance, hard work and skill, has continued his path to success at Al-Ittihad Football Club, based in Saudi Arabia.

  3. Kobe Bryant https://los-angeles-lakers.kobebryant-ar.com also known as the “Black Mamba”, is one of the most iconic and iconic figures in NBA history.

  4. Karim Benzema https://al-ittihad.karimbenzema.ae is a name worthy of admiration and respect in the world of football.

  5. Cristiano Ronaldo https://al-nassr.cristiano-ronaldo.ae is one of the greatest names in football history, with his achievements inspiring millions of fans around the world.

  6. In 2018, the basketball world witnessed one of the most remarkable transformations in NBA history. LeBron James https://los-angeles-lakers.lebronjames-ar.com one of the greatest players of our time, decided to leave his hometown Cleveland Cavaliers and join the Los Angeles Lakers.

  7. Luis Diaz https://liverpool.luis-diaz-ar.com is a young Colombian striker who has enjoyed rapid growth since joining the ” Liverpool” in January 2022.

  8. Maria Sharapova https://tennis.maria-sharapova-ar.com was born on April 19, 1987 in Nyagan, Russia. When Masha was 7 years old, her family moved to Florida, where she started playing tennis.

  9. Kevin De Bruyne https://manchester-city.kevin-de-bruyne-ar.com is a name every football fan knows today.

  10. Muhammad Al Owais https://al-hilal.mohammed-alowais-ar.com is one of the most prominent names in modern Saudi football. His path to success in Al Hilal team became an example for many young athletes.

  11. Roberto Firmino https://al-ahli.roberto-firmino-ar.com one of the most talented and famous Brazilian footballers of our time, has paved his way to success in different leagues and teams.

  12. Angel Di Maria https://benfica.angel-di-maria-ar.com is a name that will forever remain in the memories of Benfica fans.

  13. Khvicha Kvaratskhelia https://napoli.khvicha-kvaratskhelia-ar.com is a name that in recent years has become a symbol of Georgian football talent and ambition.

  14. Football in Saudi Arabia https://al-hilal.saud-abdulhamid-ar.com is gaining more and more popularity and recognition on the international stage, and Saud Abdul Hamid, the young and talented defender of Al Hilal, is a shining example of this success.

  15. Казахский национальный технический университет https://satbayev.university им. К.Сатпаева

  16. Upcoming fantasy MOBA https://bladesofthevoid.com evolved by Web3. Gacha perks, AI and crafting in one swirling solution!

  17. Продажа новых автомобилей Hongqi
    https://hongqi-krasnoyarsk.ru/hongqi-h9 в Красноярске у официального дилера Хончи. Весь модельный ряд, все комплектации, выгодные цены, кредит, лизинг, трейд-ин

  18. Kylie Jenner https://kylie-cosmetics.kylie-jenner-ar.com is an American model, media personality, and businesswoman, born on August 10, 1997 in Los Angeles, California.

  19. Bella Hadid https://img-models.bella-hadid-ar.com is an American model who has emerged in recent years as one of the most influential figures in the world of fashion.

  20. Sadio Mane https://al-nassr.sadio-mane-ar.com the Senegalese footballer best known for his performances at clubs such as Southampton and Liverpool, has become a prominent figure in Al Nassr.

  21. Zinedine Zidane https://real-madrid.zinedine-zidane-ar.com the legendary French footballer, entered the annals of football history as a player and coach.

  22. Brazilian footballer Ricardo Escarson https://orlando-city.kaka-ar.com dos Santos Leite, better known as Kaka, is one of the most famous and successful players in football history.

  23. Edson Arantes https://santos.pele-ar.com do Nascimento, known as Pele, was born on October 23, 1940 in Tres Coracoes, Minas Gerais, Brazil.

  24. Brazilian footballer Malcom https://al-hilal.malcom-ar.com (full name Malcom Felipe Silva de Oliveira) achieved great success in Al Hilal, one of the leading football teams in Saudi Arabia and the entire Middle East.

  25. Monica Bellucci https://dracula.monica-bellucci-ar.com one of the most famous Italian actresses of our time, has a distinguished artistic career spanning many decades. Her talent, charisma, and stunning beauty made her an icon of world cinema.

  26. Jackie Chan https://karate-kid.jackiechan-ar.com was born in 1954 in Hong Kong under the name Chan Kong San.

  27. Travis Scott https://astroworld.travis-scott-ar.com is one of the brightest stars in the modern hip-hop industry.

  28. The history of one of France’s https://france.paris-saint-germain-ar.com most famous football clubs, Paris Saint-Germain, began in 1970, when capitalist businessmen Henri Delaunay and Jean-Auguste Delbave founded the club in the Paris Saint-Germain-en-Laye area.

  29. Juventus Football Club https://italy.juventus-ar.com is one of the most successful and decorated clubs in the history of Italian and world football.

  30. Chelsea https://england.chelsea-ar.com is one of the most successful English football clubs of our time.

  31. Автомобили Hongqi https://hongqi-krasnoyarsk.ru в наличии – официальный дилер Hongqi Красноярск

  32. Liverpool https://england.liverpool-ar.com holds a special place in the history of football in England.

  33. When Taylor Swift https://shake-it-off.taylor-swift-ar.com released “Shake It Off” in 2014, she had no idea how much the song would impact her life and music career.

  34. Priyanka Chopra https://baywatch.priyankachopra-ar.com is an Indian actress, singer, film producer and model who has achieved global success.

  35. Jennifer Lopez https://lets-get-loud.jenniferlopez-ar.com was born in 1969 in the Bronx, New York, to parents who were Puerto Rican immigrants.

  36. After some difficult years in the late 2010s, Manchester United https://england.manchester-united-ar.com returned to greatness in English football by 2024.

  37. The Formula One World Championship https://world-circuit-racing-championship.formula-1-ar.com, known as the Formula Championship in motor racing, is the highest tier of professional motor racing.

  38. Michael Jordan https://chicago-bulls.michael-jordan-ar.com is one of the greatest basketball players of all time, whose career with the Chicago Bulls is legendary.

  39. The golf https://arabic.golfclub-ar.com industry in the Arab world is growing rapidly, attracting players from all over the world.

  40. Mike Tyson https://american-boxer.mike-tyson-ar.com one of the most famous and influential boxers in history, was born on June 30, 1966 in Brooklyn, New York.

  41. Manny Pacquiao https://filipino-boxer.manny-pacquiao-ar.com is one of the most prominent boxers in the history of the sport.

  42. Muhammad Ali https://american-boxer.muhammad-ali-ar.com is perhaps one of the most famous and greatest athletes in the history of boxing.

  43. The road to the Premier League https://english-championship.premier-league-ar.com begins long before a team gets promoted to the English Premier League for the first time

  44. In recent years, the leading positions in the Spanish https://spanish-championship.laliga-ar.com championship have been firmly occupied by two major giants – Barcelona and Real Madrid.

  45. The Italian football championship https://italian-championship.serie-a-ar.com known as Serie A, has seen an impressive revival in recent years.

  46. In the German football https://german-championship.bundesliga-football-ar.com championship known as the Bundesliga, rivalries between clubs have always been intense.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *