KATIBU MKUU NZUNDA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) JIJINI DODOMA.

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda pamoja na timu aliyoongozana nayo wakiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC) lililopo eneo la Njedengwa Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda akitoa maelekezo kwa Msimamizi na Meneja wa Mradi wa Ujenzi kutoka Chuo kikuu cha Ardhi, Godwin Maro wakati alipotembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Tume ya Taifa ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) lililopo eneo la Njedengwa Dodoma Juni 18, 2020 unaosimamiwa na Kikosi cha SUMA JKT.
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda akitoa maelekezo kwa wasimamizi wa mradi wa ujenzi wa jengo la ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC) alipotembelea kukagua maendeleo ya mradi huo Juni 18, 2020.
Ad

Unaweza kuangalia pia

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetenga zaidi ya shilingi bilioni 250 katika mwaka wa fedha 2024/25 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa na vifaa tiba kwa vituo vyote vya kutolea huduma za afya ya msingi katika Halmashauri zote 184 nchini

Taarifa hii imetolewa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *