Maktaba ya Kila Siku: June 26, 2020

WAZIRI KIGWANGALLA AKUTANA NA WAWAKILISHI WA WANANCHI KUJADILI UANZISHWAJI WA PORI LA AKIBA NA WMA YA ZIWA NATRON

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza wakati wa kikao cha kujadili uanzishwaji wa Pori la Akiba na WMA ya Ziwa Natron kikao kilichowahusisha wawakilishi wa wananchi, viongozi wa mila wa kabila la Masai na viongozi wa serikali wa wilaya ya Longido. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Idd …

Soma zaidi »

TANZANIA YAFANIKIWA KUPUNGUZA UINGIZAJI WA DAWA ZA KULEVYA NCHINI KWA 90%

Na. Immaculate Makilika- MAELEZO Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za  kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya …

Soma zaidi »

UJENZI WA BARABARA YA TABORA – KOGA – MPANDA KM 324.7 KWA KIWANGO CHA LAMI WAFIKIA ASIMILIA 48

Kazi za ujenzi wa tabaka la juu la lami ukiendelea katika barabara ya Tabora – Koga – Mpanda (km 342.7); sehemu ya Usesula – Komanga, mkoani Tabora. Kazi za kusambaza lami katika sehemu ya barabara ya Komanga – Kasinde ikiendelea. Kazi hiyo inafanywa na mtambo maalum wa kisasa unaogusa upana …

Soma zaidi »

WAZIRI LUKUVI AAGIZA WASAJILI WASAIDIZI WA HATI OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

Na Munir Shemweta, WANMM SINGIDA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka Wasajili WasaidIzi wa Hati kwenye Ofisi za Ardhi za Mikoa kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na faida ya ofisi ya Msajili wa Hati. Akizungumza wakati wa kuzindua ofisi ya ardhi ya mkoa wa Singida …

Soma zaidi »

MAELEKEZO YA ULIPAJI WA ADA ZA SHULE ZISIZO ZA SERIKALI BAADA YA JANGA LA CORONA

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inapenda kutoa maelekezo kufuatia malalamiko kuhusu ulipaji wa ada na malipo mengine kwa shule za Msingi na Sekondari zisizo za Serikali zitakapofunguliwa baada ya janga la Corona. Wizara inaelekeza na kusisitiza kuwa wanafunzi wote wapokelewe kwa ajili ya kuendelea na masomo ifikapo tarehe 29/06/2020. …

Soma zaidi »