UWEKEZAJI MIRADI SEKTA YA VIWANDA UNAAKSI SERA YA TANZANIA YA UCHUMI WA VIWANDA – MWAMBE

Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC), Geoffrey Mwambe amesema kuwa Miundombinu iliyojengwa na Serikali imewezesha kituo hicho kupiga hatua kubwa na kulete wawekezaji wengi katika Sekta ya uwekezaji hasa kwenye sekta ya Viwanda.

Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Mwambe amesema miundimbinu iliyojengwa na Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dkt.John Pombe Magufuli kwa kipindi hiki cha miaka mitano imekuwa ni mishipa ya kituo hicho kufanikisha sekta hiyo muhimu nchini.

Ad

“Miundombinu iliyojengwa na Serikali kwenye hii miaka mitano sisi kwetu kama kituo cha uwekezaji inatumika kama mishipa ya damu, kwani inapunguza gharama ya usafirishaji, kwa hiyo imetusaidia  ndani ya miaka hii mitano ya Rais Magufuli tokea Juni 2016 hadi Juni 2020 tumeweza kusajili miradi 1, 312 yenye thamani ya dola za Kimarekani Bilioni 20”, Alisema Mwambe.

Alibainisha kuwa asilimia 54 ya miradi hiyo ipo sekta ya viwanda ambayo imeisaidia Tanzania kuingia uchumi wa kati na katika uwekezaji wa miradi yote asilimia 28 ni uwekezaji wa wazawa, asilimia 43 wageni na asilimia 29 ni uwekezaji  wa mashirikiano kati ya wazawa na wageni.

Mwambe alisema kuwa katika utekelezaji wa kuimarisha uwekezaji TIC wameanzisha ofisi zingine kikanda kusogeza huduma kwa wawekezaji kwenye maeneo mbalimbali ya uwekezaji ikiwemo kanda ya Magharibi ikijumulisha mikoa ya Kigoma, Katavi na Tabora.

Aliongeza kuwa kanda zingine ni zile za Pwani kwa Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, lakini pia kanda ya kati yenye mikoa ya Morogoro, Singida na Dodoma na kanda ya ziwa yenye mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Mara na  Kagera  na kanda zingine ambako kila huduma kwa wawekezaji zinapatikana kwa urahisi.

Aidha, Mwambe alieleza mageuzi makubwa ambayo TIC wamefanya kwa miaka mitano ya Serikali ya Awamu ya Tano Ikiwemo kuimarisha mifumo ya huduma kwa wawekezaji kama vile Mfumo wa utoaji wa cheti cha uwekezaji kwa njia ya kieletroniki, Mfumo wa Usajili wa makampuni na Mfumo wa Ulipaji Serikalini (MUSE).

Mwambe alisema kuwa sekta ya uwekezaji katika viwanda ni kubwa kuliko sekta yeyote ile kwa hiyo Serikali ya Awamu ya Tano chini ya uongozi wa Rais Dkt.John Pombe Magufuli inatekeleza kwa vitendo Sera ya Uchumi wa kati wenye Viwanda ambapo Julai 1, 2020 Tanzania ilitangazwa rasmi kuwa moja ya nchi yenye uchumi  wa kati duniani.

“Tumefanikisha kwa kiasi kikubwa sana kwenye uwekezaji wa viwanda, na hii inatupa faraja sana kuwa Serikali inatekeleza na kusimamia Sera yake ya uchumi wa Viwanda, lakini pia tafsiri ya viwanda imeweza kuendana na uchakataji wa mazao yetu kwenye maeneo mbalimbali nchini”, Alisema Mwambe.

Ad

Unaweza kuangalia pia

RAIS SAMIA ATEMBELEA RUKWA.. AANGAZIA AFYA, ELIMU, KILIMO NA MIUNDOMBINU KWA MIRADI YA MAENDELEO.

Katika ziara ya Rais Samia siku ya leo iliangazia kwenye sekta ya Afya, Elimu, Kilimo …

29 Maoni

  1. заказать такси в новочеркасске недорого эконом https://taxi-vyzvat.ru

  2. Real Madrid midfielder Rodrigo https://rodrygo.prostoprosport-ar.com gave Madrid the lead in the Champions League quarter-final first leg against Manchester City. The meeting takes place in Madrid. Rodrigo scored in the 14th minute after a pass from Vinicius Junior.

  3. I was referred to this web site by my cousin. I’m not sure who has written this post, but you’ve really identified my problem. You’re wonderful! Thanks!

  4. I am glad to be a visitor of this perfect blog !, appreciate it for this rare info!

  5. Lionel Andres Messi Cuccittini https://lionelmessi.prostoprosport-ar.com is an Argentine footballer, forward and captain of the MLS club Inter Miami, captain of the Argentina national team. World champion, South American champion, Finalissima winner, Olympic champion. Considered one of the best football players of all time.

  6. Luka Modric https://lukamodric.prostoprosport-ar.com is a Croatian footballer, central midfielder and captain of the Spanish club Real Madrid, captain of the Croatian national team. Recognized as one of the best midfielders of our time. Knight of the Order of Prince Branimir. Record holder of the Croatian national team for the number of matches played.

  7. Lebron Ramone James https://lebronjames.prostoprosport-ar.com American basketball player who plays the positions of small and power forward. He plays for the NBA team Los Angeles Lakers. Experts recognize him as one of the best basketball players in history, and a number of experts put James in first place. One of the highest paid athletes in the world.

  8. Have you always been concerned about these issues?

  9. Jack Peter Grealish https://jackgrealish.prostoprosport-br.com English footballer, midfielder of the Manchester City club and the England national team. A graduate of the English club Aston Villa from Birmingham. In the 2012/13 season he won the NextGen Series international tournament, playing for the Aston Villa under-19 team

  10. Son Heung Min https://sonheung-min.prostoprosport-br.com South Korean footballer, striker and captain of the English Premier League club Tottenham Hotspur and the Republic of Korea national team. In 2022 he won the Premier League Golden Boot. Became the first Asian footballer in history to score 100 goals in the Premier League

  11. Jude Victor William Bellingham https://jude-bellingham.prostoprosport-fr.com English footballer, midfielder of the Spanish club Real Madrid and the England national team. In April 2024, he won the Breakthrough of the Year award from the Laureus World Sports Awards. He became the first football player to receive it.

  12. Sweet Bonanza https://sweet-bonanza.prostoprosport-fr.com is an exciting slot from Pragmatic Play that has quickly gained popularity among players thanks to its unique gameplay, colorful graphics and the opportunity to win big prizes. In this article, we’ll take a closer look at all aspects of this game, from mechanics and bonus features to strategies for successful play and answers to frequently asked questions.

  13. Jamal Musiala https://jamal-musiala.prostoprosport-fr.com footballeur allemand, milieu offensif du club allemand du Bayern et du equipe nationale d’Allemagne. Il a joue pour les equipes anglaises des moins de 15 ans, des moins de 16 ans et des moins de 17 ans. En octobre 2018, il a dispute deux matchs avec l’equipe nationale d’Allemagne U16. En novembre 2020, il a fait ses debuts avec l’equipe d’Angleterre U21.

  14. Ederson Santana de Moraes https://edersonmoraes.prostoprosport-br.com Futebolista brasileiro, goleiro do clube Manchester City e da Selecao Brasileira . Participante do Campeonato Mundial 2018. Bicampeao de Portugal pelo Benfica e pentacampeao de Inglaterra pelo Manchester City.

  15. Kylian Mbappe Lotten https://kylian-mbappe.prostoprosport-cz.org Francouzsky fotbalista, utocnik Paris Saint-Germain a kapitan tymu francouzskeho tymu. 1. cervence 2024 se stane hracem spanelskeho klubu Real Madrid.

  16. How do I subscribe to your blog? Thanks for your help.

  17. You have some helpful ideas! Maybe I should consider doing this by myself.

  18. You ma’am have a way with words. Thank you very much!

  19. The company ELIVERAGroup, is a Retailer, which operates in the Cosmetics industry.

  20. Nice piece of info! May I reference part of this on my blog if I post a backlink to this webpage? Thx.

  21. Hello.This article was extremely interesting, particularly since I was searching for thoughts on this subject last couple of days.

  22. We need to build frameworks and funding mechanisms.

  23. Are the issues really as complex as they seem?

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *