Maktaba ya Kila Siku: July 31, 2020

TUHAKIKISHE UCHAGUZI WA MWAKA HUU UNAKUWA WA AMANI NA UTULIVU -WAZIRI MKUU MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kila Mtanzania anapaswa kuhakikisha uchaguzi wa mwaka huu unakuwa wa amani na utulivu. Amesema kuwa kiongozi wa nchi, Rais Dkt. John Pombe Magufuli amewahakikishia watanzania kuwa uchaguzi utakuwa wa huru na haki. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Ijumaa, Julai 31, 2020) wakati akishiriki swala na …

Soma zaidi »