Maktaba ya Kila Siku: July 30, 2020

RAIS DKT. MAGUFULI ACHANGIA SHILINGI MILIONI TANO KWA SHULE YA MSINGI SOMANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea zawadi ya Jogoo alilopewa na Mzee Shaweji Mohamed Kimbwembwe mkazi wa Somanga mkoani Lindi ambaye alifurahishwa na utendaji kazi wa Mhe. Rais Magufuli wa kuwaletea maendeleo Wananchi wanyonge Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John …

Soma zaidi »

RAIS DKT. MAGUFULI AKIPITA KWENYE DARAJA LA MKAPA RUFIJI MKOANI PWANI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani Pwani wakati akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai 2020. Daraja hilo linalounganisha Pwani …

Soma zaidi »

WAZIRI WA UJENZI AJIPANGE VIZURI NAMNA YA KUTAFUTA UTATUZI WA BARABARA HII – RAIS DKT. MAGUFULI

Alichozungumza Rais Dkt. John Magufuli aliposimama kuongea na wananchi wa Nangurukuru Mkoani Lindi akiwa njiani akitokea mkoani Mtwara. “Lakini nimeamua kupitia barabara hii nilitakiwa niende na ndege nikasema hapana najua wasaidizi wangu watashangaa kuona badala ya kwenda Airport Mtwara niende na ndege nilitaka nipite hii barabara nione hali yake” “Hii …

Soma zaidi »

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KUFUNGUA MAONYESHO YA NANE MKOANI SIMIYU

Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo, Bwana Gerald Kusaya mapema tarehe 29 Julai, 2020 ametembelea Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Simiyu na baadae alielekea katika Viwanja vya Nyakabindi. Katibu Mkuu Kusaya aliekea katika Viwanja vya Nyakabindi ili kujionea na kukagua maandalizi ya eneo la maonyesho ikiwa ni pamoja na kujionea …

Soma zaidi »

KATIBU MKUU KILIMO KUSAYA AGAWA PIKIPIKI 18 KWA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya amesema kuwa serikali imeendelea kuboresha sekta ya kilimo kwa kutoa Dola Milioni 35.3 kwa ajili ya kuwezesha mapambano dhidi ya Sumukuvu katika mazao ya wakulima nchini. Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma wakati wa kutoa pikipiki kwa wakurugenzi wa halmashauri 18 wa Tanzania bara kwa …

Soma zaidi »

WANANCHI WAMESHAURIWA KUJENGA TABIA YA KUPIMA AFYA ZAO MARA KWA MARA

Wananchi wameshauriwa kujenga tabia ya kupima afya zao mara kwa mara kwa kufanya hivyo watatambua kama wana maradhi au la na kama wana maradhi wataweza  kupata huduma za matibabu kwa wakati. Pia wameombwa kuwa na bima ya afya ambazo zitawasaidia kupata matibabu pindi watakapouguwa  kwani maradhi huja muda wowote, wakati …

Soma zaidi »

TANZANIA KUWA NA VIWANDA VISIVYOPUNGUA 30 VYA DAWA NA VIFAA TIBA,VIWANDA 14 VIKO TAYARI

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Bw.Adam Fimbo akizungumza jambo wakati wa kufunga kikao kazi cha Wahariri na Waandishi wa Habari Mkoa wa Dar es Salaam na Morogoro kilichofanyika mkoani Morogoro kilichoandaliwa na TMDA. Tanzania katika kuhakikisha inatimiza azma ya kuwa nchi ya viwanda na …

Soma zaidi »

TANZANIA YACHUKUWA UENYEKITI WA NCHI 79 ZA OACPS NA KUELEZEA KIPAUMBELE CHAKE

Tanzania imesema itatumia kipindi chake cha uenyeketi wa nchi za Afrika, Caribbean na Pacific na Umoja wa nchi za Ulaya katika kusisitiza juu ya urejeshwaji wa rasilimali zilizoporwa katika nchi hizo nyakati za ukoloni,kuheshimu mamlaka ya nchi husika na urejeshwaji wa wahamiaji haramu kwa kuzingatia utu na haki za binadamu.Naibu …

Soma zaidi »