Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania (JKT) Meja Jenerali Martin Busungu Ijumaa tarehe 05/10/2018 ametembelea kikosi cha JKT Mafinga na kukagua shughuli mbalimbali za uzalishaji mali zinazofanywa na kikosini hapo. Ziara hiyo ya Mkuu wa jeshi la Kujenga Taifa ni muendelezo wa ziara zake za kujitambulisha na kujionea …
Soma zaidi »Matokeo ChanyA+
MIKOA YA DODOMA,GEITA NA NJOMBE YAONGOZA MAKUSANYO YA KIMKOA
Waziri Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Selemani Jafo amesema kuwa serikali imekuwa ikifuatilia ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri zote ili kuweza kufanikisha utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri zote nchini. Waziri Jafo amesema hayo wakati akitoa taarifa ya makusanyo ya mapato ya Halmashauri zote nchini Mkoani Dodoma. MAKUSANYO …
Soma zaidi »LATE LIVE: MSANII WA KIZAZI KIPYA DIAMOND ARUDI KWAO TANDALE
Agawa bure kadi BIMA ya AFYA kwa watu 1,000 Baadhi wabahatika kupata zawadi mabalimbali ili kukuza uchumi na mtaji ikiwemo bodaboda, mtaji kwa akina mama na nyinginezo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awa Mgeni Rasmi na kutoa amri ya kuongeza muda wa buirudaniu kwa siku za wikiendi. Sasa …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU – BENKI KUU SASA ITADHAMINI MIKOPO YA MTAJI YA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO KATIKA MABENKI!
“Leo nimepita eneo nimekuta Bank Kuu.. na wenyewe Benk ya Biashara NBC.. wananiambia, sisi tuko tayari kutoa mikopo kwa wajasiliamali (wa Madini); ili wanunue mitambo, wanunue vifaa vingine vya kusaidia kuchimba.. lakini pia na kuboresha.” – Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa. 30/09/2018, Geita “Benki Kuu wanasema, ni nyie tu (wachimbaji …
Soma zaidi »TUME YA MADINI YATOA LESENI MPYA ZA MADINI 7879
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa kati ya kipindi cha mwezi Mei hadi Septemba mwaka huu, Tume ya Madini, imetoa leseni 7879 ambazo maombi yake yaliidhinishwa kupitia kikao cha Tume kilichofanyika tarehe 25 Septemba, 2018 kujadili taarifa za Kamati za Tume na utendaji kazi katika kipindi …
Soma zaidi »WAZIRI MKUU: Mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge utakuwa wa gharama nafuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Serikali ya awamu ya tano wa kujenga mradi wa kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya mto Rufiji, Stiegler’s Gorge utasaidia sana kudhibiti uharibifu wa mazingira nchini. Akizungumza baada ya kutembelea eneo utakapojengwa mradi huo, Waziri Mkuu amesema umeme utakaotokana na maji, utazalishwa kwa gharama nafuu na …
Soma zaidi »LATE LIVE; WAZIRI JAFO AKITOA MATOKEO YA UKUSANYAJI WA MAPATO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Suleiman Jafo akitoa matokeo ya ukusanyaji wa mapato hii leo Mkoani Dodoma. fuatilia kupitia matangazo hayo ya moja kwa moja kutoka Dodoma.
Soma zaidi »LIVE: JPM APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI
“WAZIRI TIZEBA ANAFANYA KAZI KUBWA”-WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mamia ya wakulima leo tarehe 3 Octoba 2018 katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro wakati akimuwakilisha Rais, John Pombe magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA), (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mamia ya wakulima wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumzaleo …
Soma zaidi »MZEE MWINYI: RAIS MAGUFULI MIMI NINA KUHUSUDU KWASABABU UNAFANYA MAMBO MAZURI KWA WANANCHI
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa aliomba kustaafu kuwa Mdhamini wa Skauti Tanzania ombi ambalo lilikataliwa na Rais Magufuli,na kusema kuwa bado vijana wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwake. Mzee Mwinyi amesema hayo wakati wa kumwapisha Bi. Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu Tanzania …
Soma zaidi »