#SisiNiTanzaniaMpyA+
Soma zaidi »MAKAMU WA RAIS AZINDUA BARABARA MPYA YA BONITE MOSHI MANISPAA
MAKAMU WA RAIS ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU MERCY MENGI
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA MAGARI YA JESHI YATAKAYOSAFIRISHA KOROSHO.
Asisitiza yeye na serikali awamu ya tano, HATINGISHWI! Alitaka Jeshi la Wananchi kuwa tayari kwa oparesheni Korosho kuanzia Jumatatu jioni tarehe 12 Novemba, 2018. Aeleza kuwa serikali ina fedha yote ya kununua korosho yote iliyozalishwa katika msimu wa kilimo. tazama hotuba za utangulizi na hotuba ya Mhe. Rais kabla ya …
Soma zaidi »LIVE IKULU: RAIS MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WATATU
RAIS MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE KWA MARA YA KWANZA BAADA YA KULA KIAPO NOVEMBA 05, 2015.
Serikali Itaendelea Kushirikiana na Kanisa katika Kudumisha Amani na Upendo – Rais Magufuli
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameungana na Waumini wa Kanisa Katoliki hapa nchini kuadhimisha Jubilei ya miaka 150 ya Uinjilishaji Tanzania Bara. Misa Takatifu ya maadhimisho ya Jubilei hiyo ambayo imefanyika Bagamoyo Mkoani Pwani ambako Ukristo uliingia mwaka 1868 imeongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Nairobi nchini …
Soma zaidi »HAIWEZEKANI!; NCHI YENYE WATU ZAIDI YA MIL.55 IKOSE WATU 11 WA KUCHEZA MPIRA NA KUSHINDA! – RAIS MAGUFULI
Awaambia Stars Watanzania wamechoka kushuhudia wanafungwa katika kila mashindano. Asisitiza mwenendo wa kushindwa kwa timu za Tanzania katika mashindano ya kimataifa, ni aibu kubwa. Anachukizwa na rushwa pamoja na wizi uliokuwa unafanywa na viongozi wa soka nchini. Awataka viongozi wa mpira wa miguu nchini kuhakikisha wachezaji wa timu ya Taifa …
Soma zaidi »BARRICK GOLD CORPORATION YASALIMU AMRI KWA SERIKALI YA TANZANIA
Yakubali kampuni yake ya Acacia ilifanya makosa katika kuendesha shughuli zake nchini. Ni baada ya kubainika kwa wizi wa madini katika makinikia na serikali kuzuia makontena yote bandarini, Mkuu wa Barrick alijitokeza na kuomba suluhu wayamalize. Baada ya siku chache, timu ya viongozi waandamizi na wanasheria wa Barrick, walifika nchini …
Soma zaidi »TANZANIA KUWA NA SHERIA YA MIKOPO MIDOGO MIDOGO
Itahusu mikopo midogo midogo kama VIKOBA na ile ya mtu binafsi kukukopesha kwa siku/wiki/ mwezi au miezi miwili, mitatu kwa riba kubwa. Ili kulinda haki na wajibu ya mkopaji na mkopeshaji. Ni kauli ya Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan. Alisema, “Nchi yetu kwa muda mrefu.. tumekuwa tukienda bila …
Soma zaidi »