Soma zaidi »
Taarifa ChanyA+
December, 2018
-
10 December
MAMA MARIA AKUTANA NA BASHIRU ALLY KATIBU MKUU WA CCM
Mjane wa Mwalimu Nyerere Mwenyekiti wa Kwanza wa CCM na Rais wa kwanza wa Tanzania, Mama Maria Nyerere amekutana na kuwa na mazungumzo na Ndugu Bashiru Ally Kakurwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mama Maria ametumia mkutano huu kumpongeza Ndugu Katibu Mkuu kwa juhudi kubwa ambazo anaendelea kuzifanya …
Soma zaidi » -
7 December
DKT. MWANJELWA;MTUMISHI WA UMMA ANATAKIWA KUPIMWA KWA UTENDAJI KAZI
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa (Mb) amewataka watumishi wa ofisi yake kuwa mfano wa kuigwa na taasisi nyingine kiutendaji kwa kufanya kazi kwa bidii, maarifa, uadilifu na weledi ili kujenga misingi bora ya utumishi wa umma nchini. Mhe. …
Soma zaidi » -
7 December
RAIS MAGUFULI ATOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 4,477
Ndugu Wananchi na Ndugu Watanzania Wenzangu; Jumapili, tarehe 9 Disemba 2018, nchi yetu (Tanzania Bara), itatimiza miaka 57 tangu kupata Uhuru wake kutoka Utawala wa Uingereza. Napenda, kwanza kabisa, kutumia fursa hii kuwashukuru na kuwapongeza wazee wetu wote, wakiongozwa na Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kwa kufanikisha …
Soma zaidi » -
7 December
TCAA KUFANYA MAJARIBIO YA KWANZA YA MFUMO WA RADA
Mamlaka ya Usimamizi wa Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inatarajia kufanya majaribio ya kwanza ya mfumo wa rada ya kuongozea ndege nchini unaojengwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA). Akizungumza na wanahabari waliofanya ziara ya kutembelea ujenzi huo, Msimamizi wa Ujenzi wa jengo lililokuwa ikifungwa rada …
Soma zaidi » -
7 December
MAVUNDE AKABIDHI GARI LA HUDUMA ZA MAZISHI KWA WANANCHI
Mbunge wa jimbo la Dodoma mjini Mh Anthony Mavunde ametekeleza ahadi yake ya kuwapatia wananchi wa jimbo hilo gari la kuhudumia shughuli za mazishi ambalo litatumiwa na wananchi wote bila gharama yoyote. Gari hilo maalum la huduma za mazishi limekabidhiwa leo kwa wananchi wa Dodoma chini ya uratibu wa Ofisi …
Soma zaidi » -
6 December
TANZANIA KINARA WA KUVUTIA WAWEKEZAJI AFRIKA MASHARAIKI
Tanzania imeendela kuweka rekodi ya kuvutia wawekezaji kwa nchi zilizopo ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na mtaji wa uwekezaji wa Dola Bilioni 1.18, ikifuatiwa na Uganda wenye uwekezaji wa dola za kimarekani 700 Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji (TIC) …
Soma zaidi » -
6 December
NAIBU WAZIRI CONSTANTINE KANYASU AMPA MKANDARASI SIKU 30 KUKAMILISHA JENGO LA MALIASILI NA UTALII DODOMA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe .Constantine Kanyasu ametoa siku 30 kwa mkandarasi wa SUMA JKT, aliyepewa kazi ya kujenga jengo la ofisi ya wizara hiyo katika mji wa serikali eneo la Ihumwa, Jijini Dodoma, kuhakikisha jengo hilo linakamilika ndani ya siku hizo alizopewa Amemshauri Mkandarasi huyo kufanya kazi …
Soma zaidi » -
4 December
LATE LIVE; IGP SIRRO AFANYA MABADILIKO JESHI LA POLISI
Msemaji wa Jeshi la polisi abadilishwa. Sasa DCP Ahmed Msangi ndiye Msemaji wa Jeshi hilo. Fuatilia kupitia link hii; #SisiNiTanzaniaMpyA+ #MATAGA
Soma zaidi » -
3 December
UPANUZI WA BANDARI GATI NAMBA MOJA WAFIKIA ASILIMIA 100
Upanuzi wa bandari ya Dar es Salaam umefikia hatua nzuri baada ya kukamilka kwa upanuzi wa gati namba moja kwa asilimia 100 huku meli ya kwanza ikitarajiwa kutia nanga wiki moja ijayo ikishuhudiwa na Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano. Hayo yameelezwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi …
Soma zaidi » -
3 December
TUSIMAMIE WAKANDARASI WANAOJENGA MJI WA SERIKALI DODOMA
Manaibu Mawaziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano wamefanya ziara ya kutembelea na kukagua kiwanja kilichotolewa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya Wizara hiyo ambapo Serikali imetoa shilingi bilioni moja kwa kila Wizara na kuelekeza kuwa ifikapo mwishoni mwa mwezi Desemba mwaka huu Wizara zote ziwe zina majengo yake ya …
Soma zaidi »
November, 2018
-
30 November
BILIONI 4 KULIPWA KILA SIKU KWA WAKULIMA WA KOROSHO – MHE HASUNGA
Serikali imetangaza kuongeza kasi ya malipo ya wakulima wa Korosho ili kufikia kiasi cha shilingi Bilioni nne (4) kila siku kwani kufanya hivyo zoezi la malipo kukamilika haraka. Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) ameyasema hayo leo tarehe 29 Novemba 2018 wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi …
Soma zaidi »