Maktaba ya Kila Siku: March 3, 2019

HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA WATOA HUDUMA YA UPIMAJI USIKIVU BILA MALIPO

Wingi wa watu waliojitokeza  kupima usikivu wao umeonyesha ni jinsi gani wananchi wanajali afya zao, huku wakipewa sababu zinazosababisha baadhi ya watu kupoteza uwezo wa kusikia na jinsi ya kuzuia upotevu wa kusikia. Upimaji wa usikivu bila malipo umeanza Machi 2, 2019 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila ambapo kauli mbiu …

Soma zaidi »