JNIA WAPATIWA MAFUNZO YA UTAYARI WA KUPOKEA WATALII

Mkurugenzi wa Udhibiti wa Uchumi kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TCAA), Bw. Danny Mallanga ( kushoto) akimweleza jambo Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona jijini Dar es salaam.
Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Regina Hess akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona jijini Dar es salaam. Ujerumani imekua ikiunga mkono juhudi za Serikali kwa kufadhili mafunzo hayo katika maeneo mbalimbali.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona jijini Dar es salaam.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya utayari wa kupokea watalii kutoka katika taasisi zinazotoa huduma ya kuypokea watalii katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona wakifuatilia mada mbalimbali jijini Dar es salaam
Ad

Unaweza kuangalia pia

Uzinduzi wa Jengo Jipya la Makao Makuu ya UCSAF Dodoma: Kuimarisha Mawasiliano Vijijini

25 Aprili 2024, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *