JNIA WAPATIWA MAFUNZO YA UTAYARI WA KUPOKEA WATALII

Mkurugenzi wa Udhibiti wa Uchumi kutoka Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TCAA), Bw. Danny Mallanga ( kushoto) akimweleza jambo Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla (kulia) mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona jijini Dar es salaam.
Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania, Regina Hess akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona jijini Dar es salaam. Ujerumani imekua ikiunga mkono juhudi za Serikali kwa kufadhili mafunzo hayo katika maeneo mbalimbali.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa utayari wa kupokea watalii watumishi wa taasisi zinazotoa huduma katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona jijini Dar es salaam.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya utayari wa kupokea watalii kutoka katika taasisi zinazotoa huduma ya kuypokea watalii katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wakati huu wa janga la Corona wakifuatilia mada mbalimbali jijini Dar es salaam
Ad

Unaweza kuangalia pia

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetenga zaidi ya shilingi bilioni 250 katika mwaka wa fedha 2024/25 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa na vifaa tiba kwa vituo vyote vya kutolea huduma za afya ya msingi katika Halmashauri zote 184 nchini

Taarifa hii imetolewa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *