Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka Viongozi wa Wilaya ya Rombo kufanya kazi kwa kushirikiana. Makamu wa Rais ameyasema hayo leo wakati akipokea taarifa ya Wilaya hiyo. ” Sisi sote tunajenga nyumba moja bila kujali itikadi”. Aidha amewatahadharisha Viongozi hao kuacha tabia …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
November, 2018
-
6 November
”Jiongeze Tuwavushe Salama” Tupunguze Vifo Vitokanavyo na Uzazi – MAKAMU WA RAIS
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa kila Mkuu wa Mkoa aifanye afya ya uzazi na mtoto kuwa ajenda ya kudumu katika vikao vya ushauri vya Mkoa (RCC). Makamu wa Rais ametoa maagizo hayo leo wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya …
Soma zaidi » -
6 November
Kalemani: Vituo vya kupooza na kusambaza Umeme vifanyiwe ukaguzi kila siku
Mameneja wote wanaosimamia vituo vya kupoza na kusambaza umeme nchini wametakiwa kufanya ukaguzi ( checkup) wa kila siku asubuhi katika mitambo na mashine zilizopo katika vituo hivyo kuondoa adha ya kukatika umeme kutokana na hitilafu au uharibifu katika vituo hivyo. Licha ya kuwa vituo hivyo vinafanyiwa ukarabati na ukaguzi wa …
Soma zaidi » -
6 November
MOI KUANZA KUZIBUA MISHIPA YA DAMU ILIYOZIBA KWENYE UBONGO
Mkurugenzi wa ubora na uhakiki wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto Dkt Mohamed Mohamed leo tarehe 5/11/2018 amefungua kongamano la tano kimataifa la mafunzo ya madaktari bingwa wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu katika ukumbi mpya wa Mikutano MOI ambapo mafunzo yanafanyika kwa …
Soma zaidi » -
6 November
LIVE: MKUTANO WA 13 WA BUNGE KIKAO CHA KWANZA
Viapo vya Wabunge wapya waliochaguliwa katika chaguzi ndogo kadhaa. Kipindi cha maswali na majibu
Soma zaidi » -
5 November
MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KUFANYIKA KATIKA SHULE 4873 NA VITUO 1072.
Wanafunzi wa kidato cha nne nchini kote leo wameanza mitihani ya kumaliza elimu ya kidato cha nne katika shule 4873 na vituo vya kujitegemea 1072 wanaanza rasmi mitihani yao leo November 5 hadi 23 mwaka huu ya kumaliza elimu yao ya kidato cha nne. Tunawatakia wanafunzi wote mitihani mema.
Soma zaidi » -
4 November
RAIS MSATAAFU JK ATUNUKIWA TUZO
Rais Mstaafu Kikwete Atunikiwa Tuzo Kwa Kuwapa Kipaumbele Wanawake katika Uongozi. Rais Mstaafu Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametunukiwa Tuzo ya Uongozi Uliotukuka na Taasisi ya Women Advacement for Economic and Leadership Empowerement Foundation (WAELE), kwa kutambua mchango wake kwa Kuwapa Wanawake Kipaumbele katika Uongozi. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Waziri …
Soma zaidi » -
4 November
LIVE;Rais Magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 150 ya Kanisa Katoliki
Rais Magufuli ahudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 150 ya Kanisa Katoliki hapa nchini. Sherehe za maadhimisho haya zinafanyika Bagamoyo Mkoani Pwani.
Soma zaidi » -
3 November
NIMERIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SGR – MAJALIWA
Ni baada ya kuhakikishiwa kipande Dar-Morogoro kitakamilika Aprili 2019 badala ya Julai Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na kasi na viwango vya ujenzi wa mfumo wa reli ya kisasa (SGR) inayojengwa na kampuni ya Yapi Merkezi. Amesema kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro chenye urefu wa km. …
Soma zaidi » -
2 November
Waziri Mkuu: Tutahakikisha Wananchi Wote Wanapata Maji
Aagiza vijiji vyenye shida ya maji Bumbuli vibainishwe Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha wananchi katika vijiji vyote nchini wanapata huduma ya maji safi na salama katika jimbo la Bumbuli. Pia, Waziri Mkuu amemuagiza Mhandisi wa Maji wa Halmashauri ya Bumbuli, wilayani Lushoto, Charles Boy afanye utafiti na kubainisha …
Soma zaidi » -
2 November
Bi. MKAPA – Tunaliondoa shirika la NIC katika utaratibu wa ubinafsishaji
Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuliimarisha Shirika la Bima la Taifa (NIC) kwa kuliondoa katika utaratibu wa ubinafsishaji ambao uliwekwa awali. Hayo yamebainishwa na Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bi Susana Mkapa, kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango, wakati …
Soma zaidi » -
2 November
SERIKALI YAMALIZA MGOGORO WA KIWANDA CHAI MPONDE
Serikali imemaliza mgogoro uliodumu kwa miaka mingi kati ya wakulima wa chai wa wilaya za Lushoto na Korogwe na kampuni ya Mponde Tea Estate uliosababisha kufungwa kwa kiwanda cha chai cha Mponde baada ya kuagiza kiwanda hicho kianze kazi. “Waziri Mwijage na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilomo Prof. Siza …
Soma zaidi »