Jengo linalojengwa na Mahakama ya Tanzania la Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) Kinondoni Jijini Dar es Salaam. Jengo hili la ghorofa 3 litakuwa na Mahakama ya Mwanzo, Wilaya na Mkoa, ofisi za baadhi ya wadau wa Mahakama, Polisi, Ustawi wa Jamii, Mawakili na Waendesha Mashitaka. Muonekano wa jengo linalojengwa …
Soma zaidi »Waziri Mkuu
May, 2020
-
23 May
SERIKALI YAWAFUTA MACHOZI WAKAZI WA KATA YA SUNYA
NA SAKINA ABDULMASOUD,KITETO. “Siku moja nilimshuhudia mama mmoja alikuwa mjamzito,alianza kuumwa tukataka kumpeleka hospitali,tulihangaika usafiri kwa watu mpaka tunakuja kuupata yule mama alishahangaika sana kwa uchungu,lakini tunamshukuru Mungu tulimfikisha na alijifungua salama,”ni Sefae Zibani mkazi wa Kata ya Sunya mkoani Manyara. Mkazi huyo na wenzake wanarudisha nyuma kumbukumbu wakati wakitembea …
Soma zaidi » -
22 May
SERIKALI KUWEKEZA SEKTA YA ANGA
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi Stellla Manyanya (kulia) akimsikiliza Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye katika kiwanja cha ndege cha Mwanza, mara ya uzinduzi wa safari ya kwanza ya ndege Shirika la Ndege la Ethiopia, ambalo limeanza rasmi jana kuanza kubeba mizigo ya samaki kutokea …
Soma zaidi » -
21 May
WAKAZI NYAMONGO WALIPWA FIDIA YA BILIONI 33
Bwawa la kuhifadhi Tope Sumu (TFS) katika Mgodi wa Barrick North Mara. Wakazi 1,639 wa Vijiji vya Matongo na Nyabichune katika eneo la Nyamongo Wilayani Tarime Mkoa wa Mara wamelipwa fidia ya jumla ya Shilingi Bilioni 33 baada ya kusubiri kwa kipindi cha miaka 10. Fidia hiyo imelipwa Mei 20, 2020 …
Soma zaidi » -
20 May
KITUO KIKUU CHA MABASI CHA DODOMA KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI – MKURUGENZI WA JIJI LA DODOMA
Sehemu ya ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Dodoma inavyoonekana baada ya kukamilika Charles James, Michuzi TVJiji la Dodoma limesema ifikapo Juni 30 mwaka huu ndio itakua mwisho kwa Mabasi makubwa ya abiria kupaki nje ya Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji …
Soma zaidi » -
19 May
DKT. KALEMANI: LIPIENI TUJUE IDADI YA WATEJA TUSAMBAZE NGUZO TUWAWASHIE UMEME
Na Zuena Msuya Geita Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewaambia wanakijiji ambao umeme ushafika katika maeneo yao walipie gharama za kuwashiwa umeme ili kufahamu idadi ya wateja, nguzo zisambazwe na kuunganishwa kulingana na wateja waliopo kwa wakati husika. Dkt. Kalemani alisema hayo wakati akiwasha umeme katika Kijiji cha Rusungwa …
Soma zaidi » -
19 May
MILIONI 150 ZABORESHA MIUNDOMBINU CHUO CHA MICHEZO MALYA.
Na Shamimu Nyaki – WHUSM Serikali imetoa takriban Milioni 150 kukarabati miundombinu ya viwanja vya michezo pamoja na ujenzi wa kisima cha maji katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo Malya ambacho ndio chuo pekee nchini kinachozalisha walimu wa sekta hiyo. Akizungumza katika mahojiano maalumu, Mkuu wa Chuo hicho Bw.Richard Mganga …
Soma zaidi » -
19 May
WAZIRI BITEKO: MAKUSANYO SEKTA MADINI YAONGEZEKA KUTOKA BILIONI 39/- HADI BILIONI 58/- KWA MWEZI APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem, Dodoma Waziri wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji wa Sekta ya Madini unakua kwa kasi na kuifanya kuwa sekta ya kwanza kwa ukuaji kwa mwaka 2019 ikifuatiwa na sekta ya ujenzi. Ukuaji wa Sekta ya Madini umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia …
Soma zaidi » -
18 May
BAJETI YA SERIKALI KUSOMWA TAREHE 11 JUNI NA BUNGE KUVUNJWA TAREHE 19 JUNI, 2020
Spika Ndugai akizungumza na Waandishi wa Habari ambapo amesema kuwa mabadiliko ya ratiba ya Bunge yamefanyika ili usomaji wa Bajeti ya Serikali uwe wakati mmoja na wa nchi zingine za Afrika Mashariki ambapo Bajeti ya Serikali itasomwa tarehe 11 Juni na Bunge kuvunjwa tarehe 19 Juni, 2020. Wajumbe kamati ya …
Soma zaidi » -
18 May
WAMILIKI WA VIWANDA NCHINI WATAKIWA KUKATA BIMA ZA MOTO
Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara Waziri wa viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wamiliki wa viwanda nchini kuhakikisha wanakata bima za moto ili pale wanapokumbwa na ajali za moto wapate wepesi wa kulipwa fidia za mali zao. Bashungwa alitoa wito huo akiwa ziarani Karagwe mkoani …
Soma zaidi » -
18 May
NAIBU WAZIRI NISHATI AZINDUA MRADI WA UMEME JUA NANJIRINJI
Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu (mwenye ushungi-kulia), akizungumza na baadhi ya viongozi na wawakilishi wa wananchi wa Kata ya Nanjirinji, wilayani Kilwa, Mkoa wa Lindi, alipokuwa katika ziara ya kazi ambapo alizindua rasmi mradi wa umeme jua, Mei 17, 2020. Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amezindua rasmi mradi …
Soma zaidi » -
18 May
WIZARA YA ARDHI YAPOKEA VIFAA VYA ZOEZI LA URASIMISHAJI MAKAZI
Wizara wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepokea vifaa kwa ajili ya uanzishaji wa masjala za kutunza nakala za hati za umiliki wa ardhi ikiwa sehemu ya zoezi la urasimishaji wa makazi linalofanyika nchi nzima. Vifaa vilivyotolewa wa kompyuta tano (5) na mashine mbili (2) za uchapishaji wa nyaraka mbalimbali …
Soma zaidi » -
17 May
UJENZI WA HOSPITAL YA WILAYA YA NYAMAGANA WAFIKIA HATUA ZA MWISHO
Muonekano wa picha mbalimbali za ujenzi wa Hospital ya Wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza unavyoendelea.
Soma zaidi » -
17 May
KIPAUMBELE CHA SERIKALI NI KUWALIPA WASTAAFU MAFAO YAO – WAZIRI MPANGO
Waziri wa fedha na mipango Dkt Philip Mpango Serikali imesema moja ya kipaumbele chake ni kuhakikisha wazee wanastaafu kwa amani kwa kuwalipa mafao yao kadri inavyostahili. Waziri wa fedha na mipango dkt Philip Mpango amesema hayo mei 15 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu mchango wa mbunge wa Singida Mashariki Miraji …
Soma zaidi » -
15 May
NAIBU WAZIRI NYONGO AUTAKA UONGOZI WA STAMIGOLD KUSHIRIKIANA NA WAFANYAKAZI KUZALISHA KWA UFANISI
Meneja wa uchimbaji, Mhandisi Benson Mgimba akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Madini na walioambatana naye wakati wa ziara ya kikazi mgodini hapo. (Picha na Wizara ya Madini). Na Nuru Mwasampeta, WM Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo ameutaka uongozi wa Mgodi wa Stamigold kuwajali wafanyakazi na kufanya kazi kwa …
Soma zaidi »