Tani Zaidi ya 7,000 Za Reli Zawasili Bandari ya Dar Es Salaam

  • Zimeshaanza kupakuliwa kutoka kwenye meli
  • Kazi ya kuzipakua itachukua siku 7
  • zitaanza kufungwa katika malaruma mwezi huu huu Septemba 2018
  • Ujenzi wa Reli ya mwendo kazi kipande cha Dar – Morogoro kukamilika mapema zaidi ya muda uliokisiwa

maana #SisiNiTanzaniaMpyA+.. inayopata Matokeo ChanyA+ 110% katika kila nyanja ya kukuza na kujenga uchumi imara na thabiti kwa Watanzania wote.

#MATAGA

Ad
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: UZINDUZI WA MAJENGO YA OFISI YA MANISPAA NA MKUU WA WILAYA KIGAMBONI JIJINI DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *