Maktaba ya Mwezi: September 2018

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MEYA WA SHENZHEN, ATEMBELEA OFISI KUU YA KAMPUNI YA HUAWEI TECHNOLOGIES ILIYOPO SHENZHEN NCHINI CHINA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Meya wa Manispaa ya Shenzhen, Bw. Wang Wanzhong kwenye ukumbi wa Hoteli ya Wuzhou nchini China, Septemba 5, 2018.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Meya wa Manispaa ya Shenzhen kwenye hoteli ya Wuzhou nchini China, Septemba 5, 2018.  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyeshwa …

Soma zaidi »

MKUU WA WILAYA YA HAI ACHUKUA HATUA SHAMBA LA KIBO AND KIKAU ESTATE KUKWEPA KULIPA KODI YA SERIKALI MILI 700

MKUU wa wilaya ya Hai Mh. Lengai Ole Sabaya ameamuru kukamatwa na kuwekwa rumande kwa saa 48 Mkurugenzi wa Kampuni ya Tudi inayomiliki Shamba la Kibo and Kikafu Estate Bwana Jensen Natal pamoja na Manasheria wa kampuni hiyo Bwana Edward Mroso.   mbali na kukamatwa kwa watu hao Mkuu huyo …

Soma zaidi »

ALIYOYASEMA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA PROF. JOYCE NDALICHAKO WAKATI WA MAHOJIANO NA TBC TAIFA KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA BODI YA KITAALAMU YA WALIMU

– Lengo la Bodi ni kuwa na Muundo na Chombo Cha Kisheria ili kutambua rasmi taaluma ya Ualimu kama zilivyo taaluma nyingine – Ili kutimiza malengo yaliyowekwa na Serikali katika Elimu, thamani ya walimu ni jambo ambalo linapewa kipaumbele sana. -Muswada wa Sheria ya bodi ya kitaalamu ya walimu umekuwa …

Soma zaidi »

LIVE Rais Magufuli: Butiama Mkoani Mara – Tarehe 6 Septemba 2018

Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Butiama mkoani Mara ambapo Mhe. Rais Dkt. Magufuli anazindua barabara ya makutano ya Natta – Magumu katika Wilaya ya Butiama yenye urefu wa km 135 kisha atazungumza na wananchi. Fuatilia kwa kubofya link hii 👇🏽 AU Sikiliza online Radio – Radio chanyA+ kwa …

Soma zaidi »

Taarifa Ya Uteuzi Kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Ikulu Ndogo Musoma – Tarehe 6 Septemba 2018

Uteuzi wa Nafasi ya juu ya uongozi kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini – TAKUKURU Rais wangu… yupo kazini kujenga Taifa lenye wananchi wanaokataa rushwa kwa VITENDO na kutoka MOYONI Nchi yangu… ipate Matokeo ChanyA+ 110% kimaadili na UZALENDO kwa nchi yetu. #SisiNiTanzaniaMpyA+ Gerson Msigwa: Mkurugenzi wa Mawasiliano …

Soma zaidi »

Live: Rais Magufuli Atembelea Shule Aliyosoma Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere – Tarehe 5 Septemba 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Anazungumza na Wananchi Leo Tarehe 5 Septemba 2018. Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea shule ya …

Soma zaidi »