- Uteuzi wa Nafasi ya juu ya uongozi kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini – TAKUKURU
Rais wangu… yupo kazini kujenga Taifa lenye wananchi wanaokataa rushwa kwa VITENDO na kutoka MOYONI
Nchi yangu… ipate Matokeo ChanyA+ 110% kimaadili na UZALENDO kwa nchi yetu.
#SisiNiTanzaniaMpyA+
Kwa siku za nyuma watalii walipoteza maisha kwenye barabara yetu ya Arusha – Babati.
Kwa kuwa barabara ile ni muhimu sana kwa uchumi wa Taifa
Nawaomba sana kwa unyenyekevu mkubwa kabisa Mheshimiwa Rais wetu achukue hatua ya kuleta Imani kwa eageni wetu.
Barabara ile iwe Motor way. Njia 4… kupunguza ajali hizi ila la zaidi kuweka Imani. ya wageni wetu.
Hata iwe Arusha hadi njia panda kwenda mbugani.