-Ameteuliwa tarehe 06 Septemba, 2018 -Kabla ya hapo alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora. - Anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Valentino Mlowola ambaye sasa ameteuliwa na Mhe. Rais kuwa Balozi.

Taarifa Ya Uteuzi Kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Ikulu Ndogo Musoma – Tarehe 6 Septemba 2018

  1. Uteuzi wa Nafasi ya juu ya uongozi kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini – TAKUKURU

Rais wangu… yupo kazini kujenga Taifa lenye wananchi wanaokataa rushwa kwa VITENDO na kutoka MOYONI

Nchi yangu… ipate Matokeo ChanyA+ 110% kimaadili na UZALENDO kwa nchi yetu.

Ad

#SisiNiTanzaniaMpyA+

Gerson Msigwa
Gerson Msigwa: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: UZINDUZI WA MAJENGO YA OFISI YA MANISPAA NA MKUU WA WILAYA KIGAMBONI JIJINI DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *