-Ameteuliwa tarehe 06 Septemba, 2018 -Kabla ya hapo alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora. - Anachukua nafasi ya Kamishna wa Polisi Valentino Mlowola ambaye sasa ameteuliwa na Mhe. Rais kuwa Balozi.

Taarifa Ya Uteuzi Kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Ikulu Ndogo Musoma – Tarehe 6 Septemba 2018

  1. Uteuzi wa Nafasi ya juu ya uongozi kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini – TAKUKURU

Rais wangu… yupo kazini kujenga Taifa lenye wananchi wanaokataa rushwa kwa VITENDO na kutoka MOYONI

Nchi yangu… ipate Matokeo ChanyA+ 110% kimaadili na UZALENDO kwa nchi yetu.

Ad

#SisiNiTanzaniaMpyA+

Gerson Msigwa
Gerson Msigwa: Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE: UZINDUZI WA MAJENGO YA OFISI YA MANISPAA NA MKUU WA WILAYA KIGAMBONI JIJINI DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, …

Oni moja

  1. Kwa siku za nyuma watalii walipoteza maisha kwenye barabara yetu ya Arusha – Babati.
    Kwa kuwa barabara ile ni muhimu sana kwa uchumi wa Taifa
    Nawaomba sana kwa unyenyekevu mkubwa kabisa Mheshimiwa Rais wetu achukue hatua ya kuleta Imani kwa eageni wetu.
    Barabara ile iwe Motor way. Njia 4… kupunguza ajali hizi ila la zaidi kuweka Imani. ya wageni wetu.
    Hata iwe Arusha hadi njia panda kwenda mbugani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *