Maktaba ya Kila Siku: December 29, 2020

DKT. NDUGULILE AHIMIZA TAASISI ZA SERIKALI KUTUMIA KITUO CHA TAIFA CHA KUHIFADHI DATA KUHIFADHI TAARIFA ZAO

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania, Waziri Kindamba akimshukuru Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa kwanza kulia) kwa kutembelea Kituo cha Taifa cha Kuhifadhi Data, Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya …

Soma zaidi »