BARABARA MPYA ZA LAMI ZA MITAA YA MIKOCHENI NA MSASANI ZAONGEZA KASI YA KUKUZA UCHUMI JIJINI DSM.

• Zimerahisisha usafiri katikati ya mitaa hiyo

• Za pinguza msongamano kwa kiasi kikubwa barabara ya Mwai Kibaki

Ad

• Sasa mitaa ya Sayansi Kijitonyama, Msasani kwa Mwalimu, Mikocheni, Msasani na Masaki imeunganishwa kwa njia za lami zaidi ya moja.

• Tatizo la mafuriko na mitaro isiyopitisha maji kipindi cha masika, limetatuliwa kikamilifu.

• Barabara zote zina taa sinazotumia mionzi ya mwanga wa jua.

MSASANI 4.png

#SisiNiTanzaniaMpyA+

Ad

Unaweza kuangalia pia

MAKAMU WA RAIS AMUWAKILISHA RAIS DKT. MAGUFULI MKUTANO WA AALCO

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *