Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo jumla ya Wagonjwa saba tangu ilipoanza kufanya huduma hiyo kwa kushirikiana na Madaktari kutoka shirika la afya la Tokushukai lilopo nchi ya Japan. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wakati alipofanya ziara ya kukagua hali …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
March, 2019
-
16 March
KAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAPONGEZA MRADI WA UMEME WA MAKAMBAKO – SONGEA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, chini ya Mwenyekiti, Mariamu Ditopile Mzuzuri, imeipongeza Serikali kwa kutekeleza mradi wa umeme wa Makambako- Songea (kV 220) ambao umewezesha Mikoa ya Ruvuma na Njombe kupata umeme wa uhakika kutoka Gridi ya Taifa. Kamati hiyo, imetoa pongezi hizo wilayani Songea, Mkoa …
Soma zaidi » -
16 March
MIRADI YA KIMKAKATI 37 INATEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI 29 NCHINI
Miradi ya Kimkakati ya kuongeza mapato katika Halmashauri: Hatua iliyofikiwa ni utekelezaji wa miradi ya kimkakati 37 ya kuongeza mapato ya halmashauri na kupunguza utegemezi wa kibajeti kutoka Mfuko Mkuu wa Serikali ikijumuisha Soko la kisasa – manispaa ya Morogoro, soko la kisasa – halmashauri ya mji Kibaha, Pwani, ghala …
Soma zaidi » -
16 March
UJENZI WA MIUNDOMBINU YA RADA UMEFIKIA ASILIMIA 90
Ufungaji wa rada nne za kuongozea ndege za kiraia JNIA, KIA, Mwanza na Songwe: Hatua iliyofikiwa ni: JNIA: Kukamilika kwa asilimia 95 ya miundombinu ya rada. Mwanza: Ujenzi wa miundombinu ya rada unaendelea vizuri. KIA: Ujenzi wa miundombinu ya rada unaendelea na umefikia asilimia 90. Songwe: taratibu za ujenzi wa …
Soma zaidi » -
14 March
MRADI WA UMEME WA STIEGLER’S GORGE WAKAMILISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU WEZESHI
Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa na ya Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2019/20,Upande wa Mradi wa Kufua Umeme wa Maji Rufiji – MW 2,115: Hatua iliyofikiwa ni: kupatikana kwa mkandarasi wa mradi wa kufua umeme utokanao na nguvu ya maji katika Mto …
Soma zaidi » -
12 March
WAKULIMA 100 WAPATIWA HATI MILIKI ZA KIMILA KWA GHARAMA YA Tsh. 2,700
Katika Harakati Za Serikali Kumuinua Mkulima Nchini Na Kufanya Kilimo Kuwa Uti Wa Mgongo, Mpango Wa Kurasimisha Rasilimali Na Biashara Za Wanyonge Tanzania (Mkurabita) Umewajengea Uwezo Wananchi Wa Wilaya Ya Chamwino Jijini Dodoma Jinsi Ya Matumizi Bora Ya Ardhi Ili Kujikwamua Zaidi Kiuchumi. Ambapo wakulima 100 wa kijiji cha Mahama, …
Soma zaidi » -
8 March
TANZANIA KUWA MWENYEJI WA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WARATIBU WA MIRADI YA ATOMIKI
Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojiaa Profesa Joyce Ndalichako anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa kimataifa wa waratibu wa kitaifa wa miradi inayotekelezwa na Shirika la nguvu za Atomiki duniani kwa nchi 46 kanda ya Afrika utakaofanyika kuanzia tarehe 11 hadi 15 mezi Machi jijini Arusha wenye lengo la kujadiliana …
Soma zaidi » -
2 March
LIVE: RAIS MAGUFULI AHUDHURIA KUUAGA MWILI WA RUGE MUTAHABA, MKURUGENZI WA VIPINDI NA UZALISHAJI WA CLOUDS MEDIA GROUP
BWANA ALITOA NA MWANA AMETWAA; JINA LAKE LIHIMIDIWE
Soma zaidi »
February, 2019
-
26 February
MAISHA HALISI YA MSHINDI WA TUZO SINEMA ZETU (SZIFF 2019), MUIGIZAJI BORA WA KIKE; Ni funzo chanyA+
• Anaitwa Flora Kihombo binti mwenye umri wa miaka 10 anayeendelea na elimu ya msingi (Darasa la Sita) •• Ni mtoto wa nne kuzaliwa katika familia duni yenye watoto 7 ambapo kutokana na ugumu wa maisha, wazazi wake iliwalazimu muwandikisha kwenye kituo cha kulea watoto wanaoishi katika mazingira magumu mwaka …
Soma zaidi » -
24 February
SIKU YA WAPENDANAO YA KIPEKEE TANZANIA
Imefanyika usiku wa siku ya wapendanao (valentine’s day) Iliandaliwa jijini Mbeya Ilihusisha viongozi mbali mbali, wakazi wa mkoa wa Mbeya, mikoa jirani sambamba na wapendanao walioongozwa na Mhe. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Dkt. Tulia Akson Waliafikiana kuisaidia ujenzi wa nyumba, malazi, kuwaonyesha …
Soma zaidi » -
14 February
LIVE CATCH UP:MAKABIDHIANO YA ENEO LA UJENZI WA MRADI WA KUFUA UMEME KWA NJIA YA MAJI RUFIJI
Hafla ya Makabidhiano Eneo la Ujenzi wa Stiglers Gorge Leo Februari 14, serikali kupitia Wizara ya Nishati, inafanya hafla ya makabidhiano ya eneo la ujenzi wa mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji mkoani Rufiji. Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Waziri mwenyeji wa Nishati, Dkt Medard Kalemani.
Soma zaidi » -
13 February
WAGONJWA 12 WAFANYIWA UCHUNGUZI WA MISHIPA YA MOYO KUPITIA MTAMBO WA CATHLAB
Jumla ya wagonjwa 12 wamefanyiwa uchunguzi wa kuangalia jinsi mishipa ya damu ya moyo inavyofanya kazi kupitia mtambo wa Cathlab ambao ni maabara ya uchunguzi na tiba ya mishipa ya damu ya moyo. Uchunguzi huo ambao umefanyika kwa siku mbili umefanywa na madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi …
Soma zaidi » -
12 February
TANZANIA YAPIGA HATUA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema nchi za Bara la Afrika zimeitaja Tanzania kuwa ni miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa. Ameyasema hayo Februari 11, 2019 wakati akitoa muhtasari wa yaliyojiri kwenye Mkutano wa 32 wa Wakuu wa nchi za Afrika (AU) unaofanyika Addis Ababa, Ethiopa. Waziri …
Soma zaidi »