Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa - TAKUKURU imepewa maagizo na Rais Magufuli.

AGIZO LA RAIS MAGUFULI KWA TAKUKURU

• Amuagiza Mkurugenzi Mkuu kuupitia upya muundo wa utendaji wa tasisi hiyo

DIWANI.png

• Ataka Wakuu wa TAKUKURU wa Mikoa na Wilaya wawe na nafasi ya kutolea maamuzi kesi za rushwa zilizo ndani ya eneo lao la kazi bila kuchelewa au kusubiri kibali kutoka Makao Makuu ya taasisi hiyo.

Ad

kwani #SisiNiTanzaniaMpyA+ inayokabiliana na rushwa kwa kasi ili kujenga Taifa lenye uchumi imara na madhubuti kwa Watanzania wote.

#MATAGA

tazama video hii ambayo Mhe. Rais ,agufuli alipokuwa akimuagiza Mkurugenzi Mkuu mpya wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athmani.

https://vimeo.com/user63874414/review/291881557/28e412231f

 

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

NCHI ZA SADC ZATAKIWA KUTATHMINI UCHUMI WAKE BILA KUTEGEMEA MASHIRIKA YA KIMATAIFA PEKEE

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema kuwa nchi za Afrika hasa zilizopo …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *