MELI MPYA YA KUBEBA MAFUTA YA UKOMBOZI II KUWASILI ZANZIBAR HIVI KARIBUNI

Z 6-01
Meli ya kisasa iliyojengwa na kampuni ya Damen Shipyards katika karakana zake zilizopo katika mji wa Yichang nchini China itaondoka kesho Shanghai kuelekea Zanzibar kwa ajili ya makabidhiano rasmi
Z 7-01
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango wa SMZ Nd Khamis Omar akisaini makabidhiano ya kiufundi ya Meli mpya ya kubeba mafuta “Ukombozi II” jijini Shanghai. Tukio hilo limeshuhudiwa na Katibu Mkuu wa Uchukuzi wa SMZ Mustafa Jumbe na Afisa Ubalozi wa Tanzania Nd Said Massoro
Z 1-01
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango wa SMZ Nd Khamis Omar akiwa katika ya Meli mpya ya kubeba mafuta “Ukombozi II” jijini Shanghai. Tukio hilo limeshuhudiwa na Katibu Mkuu wa Uchukuzi wa SMZ Mustafa Jumbe na Afisa Ubalozi wa Tanzania Nd Said Massoro
Z 2-01
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango wa SMZ  Khamis Omar akiwa katika ya Meli mpya ya kubeba mafuta “Ukombozi II”  jijini Shanghai. Tukio hilo limeshuhudiwa na Katibu Mkuu wa Uchukuzi wa SMZ Mustafa Jumbe na Afisa Ubalozi wa Tanzania Nd Said Massoro
Z 3-01
Meli ya kisasa iliyojengwa na kampuni ya Damen Shipyards katika karakana zake zilizopo katika mji wa Yichang nchini China itaondoka kesho Shanghai kuelekea Zanzibar kwa ajili ya makabidhiano rasmi

 

 

Ad

Unaweza kuangalia pia

KAMPUNI YA SIGARA TANZANIA(TCC) KUTOA MSAADA WA VIFAA MBALIMBALI KWA WATU WENYE ULEMAVU ZANZIBAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba utayari wa …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *