Maktaba ya Mwezi: August 2020

SERIKALI YA JIMBO LA HUNAN NCHINI CHINA IMENZISHA MTAA MAALUM WA KUUZA KAHAWA KUTOKA BARANI AFRIKA

Serikali ya Jimbo la Hunan nchini China imenzisha Mtaa Maalum wa kuuza kahawa kutoka Barani Afrika katika soko Kuu la Gaoquiao jijini Changsha. Hafla ya uzinduzi wa mtaa huo imefanyika na kuhudhuriwa na wawakilishi wa mataifa mawili yanayozalisha kahawa Tanzania na Ethiopia Katika hafla hiyo ya uzinduzi wa Mtaa wa …

Soma zaidi »

MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CCM JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Visiwani) Dkt Ali Mohamed Shein, wakirudi ukumbini baada ya mapumziko mafupi ya Kikao cha Kamati Kuu ya …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI KANYASU AIAGIZA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUTOA KITALU CHA UWINDAJI WA KITALII KWA CHUO

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu ameamuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii kutoa  kitalu cha Uwindaji wa Kitalii kwa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka  ili kitumike kwa ajili ya mafunzo kwa vitendo kwa wanafunzi wanaosomea masomo ya Uwindaji Bingwa        (Professional Hunters) Ametoa agizo hilo …

Soma zaidi »

DC CHONGOLO AMTAKA MKANDARASI ANAYEJENGA SOKO LA TANDALE KUONGEZA KASI YA UJENZI HUO

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo amemtaka Mkandarasi wa Kampuni ya NAMIS CORPORATE L.T.D ambaye anajenga Soko hilo kuongeza kasi ya ujenzi huo ili Wafanyabiashara waweze kurudi kwenye eneo lao. Chongolo amesema hayo alipofanya ziara katika soko la Tandale na kuwakuta wafanyabiashara katika mazingira yasiyo rafiki hali inayopelekea usumbufu …

Soma zaidi »

TANZANIA NI YA KWANZA AFRIKA KWA KUSAMBAZA UMEME HADI VIJIJINI – WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Tanzania imeshika nafasi ya kwanza barani Afrika kwa kufanikiwa kusambaza umeme nchini kote kwa asilimia 80. “Leo hii Tanzania ni ya kwanza barani Afrika kwa kusambaza umeme kote nchini hadi vijijini na kufikisha asilimia 80. Kuna nchi ngapi barani Afrika, lakini Tanzania imefanikiwa kuwa ya …

Soma zaidi »

KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA YAONGEZEKA

Hafsa Omar-Kagera Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, amesema Serikali inataendelea  kuzipa kipaumbele  Taasisi za Umma nchini  katika usambazaji wa umeme vijijini ili siweze kutoa huduma bora kwa Watanzania. Ameyasema hayo , Agosti 16,2020 kwa nyakati tofauti  wakati akiwa kwenye ziara ya kazi ya ukaguzi wa kazi ya usambazaji umeme …

Soma zaidi »