Maktaba ya Mwezi: January 2021

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI ATOA SIKU 60 KWA SUMA JKT KUKAMILISHA UJENZI WA TENKI LA MAJI BUIGIRI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji mhandisi Nadhifa Kemikimba ametoa siku 60 kwa mkandarasi SUMA JKT anayejenga tenki la maji katika eneo Buigiri wilayani Chamwino kuhakikisha anakamilisha kazi hiyo ili wananchi wapate huduma ya maji. Tanki hilo lenye ujazo wa wa lita Milioni 2.5 linajengwa kwa gharama ya Sh Milioni …

Soma zaidi »