Maktaba ya Mwezi: January 2021

WAZIRI MKUU AZINDUA BARABARA YA MATEMWE -MUYUNI

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezindua barabara ya Matemwe hadi Muyuni yenye urefu wa kilomita 7.58 iliyojengwa na Kampuni ya China Civil Engineering Construction Cooperation (CCECC) kutoka China kwa gharama ya shilingi bilioni 5.48 zikiwa ni mkopo kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB).  “Barabara hii ni kiungo muhimu kwa wananchi …

Soma zaidi »

DKT. NDUGULILE ATAKA TEKNOLOJIA RAHISI ZITUMIKE KUFIKISHA HUDUMA ZA MAWASILIANO

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile akiwaonesha na kuwataka Menejimenti na wafanyakazi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote watekeleze Ilani ya CCM ya mwaka 2020 – 2025 na hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli aliyoitoa wakati akifungua Bunge wakati …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU MAJALIWA – UBORA WA MIRADI ULINGANE NA THAMANI YA FEDHA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema miradi yote inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini lazima isimamiwe vizuri ili kuhakikisha inakuwa na viwango vinavyoendana na thamani ya fedha iliyotolewa na Serikali. “Maelekezo ya Serikali kwenye maeneo yote muhimu ya miradi isimamiwe kwa kina na hasa thamani ya fedha na viwango vya ujenzi wa …

Soma zaidi »

GEKUL ‘AWASHUKIA’ MAAFISA UVUVI WANAOSHIRIKIANA NA WAHALIFU

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Pauline Gekul amesema kuwa hakuna haja ya kuendelea kuwa na Maafisa Uvuvi ambao wanashirikiana na wahalifu kufanya vitendo vya hujuma wakati kuna vijana wengi wenye nia njema ya kulitumikia Taifa wanahangaika na ajira. Gekul aliyasema hayo alipotembelea Kiwanda cha kuchakata samaki, Alpha kilichopo Vingunguti …

Soma zaidi »

MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO NI BARABARA YA DUNIA YA SASA YA KIDIJITALI – DKT. NDUGULILE

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile (wa pili kushoto) akimpongeza dereva wa kike pekee wa Wizara hiyo, Trust Kyando kwa utendaji kazi mzuri wakati wa kikao cha Waziri huyo na wafanyakazi wa Wizara hiyo. Wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula …

Soma zaidi »

WAZIRI AWESO AMUAGIZA KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI KUTENGUA UTEUZI WA MENEJA WA RUWASA MKOA WA MARA

Waziri wa Maji, Mhe.  Jumaa Aweso (Mb) amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga kutengua uteuzi wa Meneja wa Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Mara, Mhandisi Sadick Chakka na mwenzake wa Wilaya ya Tarime Mhandisi Marwa Murasa kwa kushindwa kusimamia vyema …

Soma zaidi »

RC MAHENGE AMEAGIZA MKANDARASI KUTOLIPWA FEDHA HADI AREKEBISHE MAPUNGUFU KWENYE DARAJA ALILOJENGA

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dokta Binilith Mahenge amemuelekeza Kaimu Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma Mhandisi Salome Kabunda kutomlipa mkandarasi Musons Engineering fedha hadi arekebishe ukuta alioujenga wa daraja la Chinyasungwi ambao umepinda. Dokta Mahenge ametoa maelekezo hayo Januari 5,2020 wilayani Mpwapwa akiwa katika ziara …

Soma zaidi »

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZINDUA SAFARI ZA MV MBEYA II

Muonekano wa ndani wa Meli ya MV. Mbeya II ambayo imezinduliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Januari 5, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Muonekano wa ndani wa Meli ya MV. Mbeya II ambayo imezinduliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Januari 5, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) …

Soma zaidi »