Maktaba ya Mwezi: January 2021

UWEPO WA REGISTA YA WATU WENYE ULEMAVU ITACHANGIA UPATIKANAJI WA HUDUMA BORA KWA WENYE ULEMAVU NCHINI – NAIBU WAZIRI UMMY

Uwepo wa rejista ya Watu wenye Ulemavu nchini utachangia upatikanaji wa huduma bora kwa kundi hilo lenye mahitaji maalum sambamba na kutambua mahali wanapoishi, aina ya ulemavu walionao, hali zao za kimaisha na namna ya kuwawezesha kupata mikopo ya asilimia 2 inayotolewa na halmashauri. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AUAGIZA UONGOZI WA WILAYA YA ILEMELA KUHAKIKISHA HOSPITALI MPYA YA WILAYA INATOA HUDUMA KIKAMILIFU

Na. Farida Ramadhani na Peter Haule, WFM, Mwanza Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Mwanaidi Ali Khamis, amemuagiza Mkuu wa Wilaya ya Ilemela kuhakikisha vifaa tiba, umeme na maji vinapatikana kwa haraka katika Hospitali mpya ya Wilaya hiyo iliyojengwa katika eneo la Kabusungu  ili huduma za afya zianze kutolewa …

Soma zaidi »

KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA KUZALISHWA AJIRA ZAIDI YA 3000

Kiwanda cha kuchakata bidhaa za ngozi cha Karanga kinatarajiwa kuzalisha ajira 3000 katika fani mbalimbali nchini mara baada ya kukamilika ujenzi wa jengo la kuchakata bidhaa za ngozi lililo katika hatua za mwisho. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, …

Soma zaidi »

RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE YA CHINA WANG YI KATIKA IKULU NDOGO YA CHATO MKOANI GEITA

Hafla fupi ya utiaji saini wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR kutoka Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga km 341 kati ya Shirika la Reli Tanzania TRC na Ubia wa Kampuni mbili za Kichina, China Civil Engineering Construction Corporation CCECC na China Railway Construction Corporation Limited CRCC. Rais wa Jamhuri …

Soma zaidi »

SERIKALI IMETOA MIEZI MITATU KWA WENYE SHEHENA YA VIFUNGASHIO VISIVYOKIDHI VIWANGO VIONDOLEWA SOKONI

Serikali imetoa miezi mitatu kwa wenye shehena ya vifungashio visivyokidhi viwango vya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) vinaondolewa sokoni. Agizo hilo limetolewa leo Januari 8, 2020 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa …

Soma zaidi »

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA WANG YI ATEMBELEA MWALO WA SAMAKI WA CHATO MKOANI GEITA

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Mashimba Ndaki akimpatiamaelezo Waziri wa  Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang Yi kuhusu samaki waaina mbalimbali na minofu yao wanaopatikana katika Ziwa Victoriawakati mgeni huyo alipotembelea Mwalo wa Chato mkoani Geita mapemaasubuhi ya leo Ijumaa Januari 8, 2021 Waziri wa Mifugo na Uvuvi …

Soma zaidi »

NAIBU WAZIRI BASHE AAGIZA TAKUKURU KUANZA UCHUNGUZI UPOTEVU WA MILIONI 150 ZA AMCOS YA CHABUMAA

Naibu Waziri Kilimo Hussein Bashe  ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Chamwino kuanza mara moja uchunguzi dhidi ya Viongozi wa Chama cha Ushirika wa Wakulima wa Zabibu (CHABUMA AMCOS) katika wilaya hiyo; Waliochukua fedha kiasi cha shilingi milioni 150 ambazo zimetumika kinyume cha utaratibu. Naibu …

Soma zaidi »