Na. Peter Haule na Farida Ramadhani, Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amewataka watumishi wa Wizara yake kuhakikisha wanasimamia kikamilifu mapato na matumizi ya fedha za umma ili kufanikisha malengo ya maendeleo yaliyotolewa na Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, akizindua Bunge la 12. Hayo aliyasema wakati …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
November, 2020
-
13 November
SERIKALI ITAKAMILISHA UJENZI WA BARABARA KILOMETA 2,500 ZA LAMI – RAIS MAGUFULI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete mara baada ya kufungua …
Soma zaidi » -
12 November
WABUNGE WAMPONGEZA KASSIM MAJALIWA KUPITISHWA JINA LAKE KUCHAGULIWA KUWA WAZIRI MUU
Aliyekuwa Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackoson, ameshinda tena nafasi hiyo kwa kupata kura 350 kati ya Kura 354 zilizopigwa. Naibu Spika wa bunge la 12 Dk.Tulia Ackson kupitia CCM akiwashukuru wabunge waliomchagua kwa kishindo wakati wa Bunge la 12 Jijini Dodoma leo …
Soma zaidi » -
12 November
DC CHONGOLO AFANYA ZIARA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU SHULE YA MSINGI BOKO
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo ametembelea shule ya msingi Boko kwa lengo la kukagua changamoto zilizojitokeza katika miundombinu ya shule hiyo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Akizungumza na uongozi wa shule katika ziara hiyo Chongolo ameeleza kuwa eneo hilo limekuwa na changamoto ya kujaa maji nyakati za mvua …
Soma zaidi » -
12 November
ALLAN KIJAZI AKABIDHI MAGARI 9 YA MRADI WA KUSIMAMIA MALIASILI NA KUKUZA UTALII KUSINI MWA TANZANIA
Kamishna wa Uhifadhi TANAPA na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Allan Kijazi jijini Dodoma amekabidhi magari 9 ya Mradi wa Kusimamia Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania unaofadhiliwa na Benki ya Dunia kwa Hifadhi za Mikumi, Ruaha na Udzungwa. Dkt.Kijazi amesema kuwa magari haya yatatumika …
Soma zaidi » -
11 November
HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI YA KWANZA KWA UBORA AFRIKA 2020
Hifadhi ya Taifa Serengeti imeshinda Tuzo ya kuwa Hifadhi Bora katika Bara la Afrika kwa mwaka 2020. Tuzo hiyo imetangazwa Novemba 9,2020 na Taasisi ya World Travel Awards (WTA) ya nchini Marekanl kwa njia ya Mtandao. Hii ni mara ya pili kwa Hifadhi ya Taita Serengeti kushinda katika Kundi la …
Soma zaidi » -
10 November
MKUTANO WA USHIRIKIANO WA UCHUMI NA BIASHARA KATI YA AFRIKA NA CHINA UMEFANYIKA JIJINI JINHUA
Mkutano wa Ushirikiano wa Uchumi na Biashara kati ya Afrika na China umefanyika jijini Jinhua katika Jimbo la Zhejiang na kuhudhuriwa na Wanadiplomasia wa Nchi za Afrika, viongozi wa Serikali ya Jimbo la Zhejiang na Mji wa Jinhua pamoja na wafanyabiashara wa China na Afrika. Katika mkutano huo Naibu Katibu …
Soma zaidi » -
9 November
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AHUDHURIA KUAPISHWA MWANASHERIA MKUU
Makamu wa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma pamoja na Spika Job Ndugai wakiwa katika hafla ya kuapishwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Prof. Adelardus Kilangi IKulu Chamwino Leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli na Makamu …
Soma zaidi » -
4 November
LUKUVI APOKEA TAARIFA YA AWALI YA UHAKIKI ENEO LA MGOGORO MTAKUJA DODOMA
Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amepokea taarifa ya awali ya uhakiki wa eneo lenye Mgogoro la Mtakuja lilipo Kata ya Chang’ombe mkoani Dodoma. Taarifa ya uhakiki wa eneo hilo lenye ukubwa hekta kumi uliwasilishwa leo tarehe 4 Oktoba 2020 katika …
Soma zaidi » -
3 November
JAFO AWAJIA JUU TARURA, UJENZI WA BARABARA ZA MJI WA SERIKALI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewataka Wakala wa barabara za vijijini na Mijini(TARURA) wanaosimamia ujenzi barabara ya mzunguko katika Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma kukamilisha ujenzi huo ndani ya muda uliowekwa. Jafo ametoa agizo hilo wakati alipotembelea eneo …
Soma zaidi » -
2 November
MAKAA YA MAWE RUVUMA YAINGIZA BILIONI 400 NA KUTOA AJIRA 700
Madini ya makaa ya mawe yanayochimbwa mkoani Ruvuma yameingiza zaidi ya shilingi bilioni 400 na kutengeneza ajira za watanzania zaidi ya 700. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amesema kiasi hicho cha fedha kimepatikana kutokana na mauzo ya madini ya makaa ya mawe zaidi ya tani milioni 3.3 ambayo …
Soma zaidi »
October, 2020
-
27 October
SERIKALI YA TANZANIA YATIA SAINI MKATABA WA HGA NA WAWEKEZAJI WA MRADI WA EACOP.
Na.Vero Ignatus Arusha. Majadiliano ya kutia saini mkataba wa nchi hodhi baina ya Total na Serikali ya Tanzania juu ya utekelezaji wa mradi wa EACOP umefanyika leo Jijini Arusha katika hotel ya Grad melia. Utiaji wa saini wa makubaliano ya awali ya Afrrika ya mashariki (EACOP )kati ya serikali ya …
Soma zaidi » -
23 October
VIWANJA VYA NDEGE VYA SHINYANGA, KIGOMA, TABORA NA SUMBAWANGA KUJENGWA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
Na. Ramadhani Kissimba na Peter Haule, Dar es Salaam Serikali imezindua mradi wa ujenzi, ukarabati na upanuzi wa viwanja vinne vya ndege vya Shinyanga, Tabora, Sumbawanga na Kigoma ili viwe na kiwango cha kimataifa, utakaogharimu shilingi bilioni 136.85. Akizindua ujenzi wa mradi huo jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa …
Soma zaidi » -
20 October
KATIBU MKUU KUSAYA AKARIBISHA WAWEKEZAJI KUZALISHA MBEGU ZA MAZAO YA KILIMO
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw. Gerald Kusaya akitazama mti bora wa kahawa katika shamba la kituo cha utafiti TACRI Mbimba wilaya ya Mbozi jana. Kushoto ni Mtafiti Mkufunzi Dismas Pangaras na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Uendelezaji Mazao Wizara ya Kilimo Beatus Malema. Wizara ya Kilimo imetoa wito kwa wawekezaji …
Soma zaidi » -
19 October
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SARUJI NCHINI
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji, Mhe. Angellah Kairuki wamefanya kikao cha pamoja na wazalishaji wa saruji nchini kwa lengo la kujadili fursa mbalimbali, changamoto na namna bora ya kukuza sekta ya ujenzi nchini kupitia saruji, kikao kilichofanyika …
Soma zaidi »