Sura ya halisi ya Jengo la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi baada ya kukamilika rasmi katika mji wa Serikali Ihumwa mkoani Dodoma. Jengo hilo limejengwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kupitia kampuni yake ya ujenzi.
JENGO LA WIZARA YA ARDHI LAKAMILIKA KATIKA MJI WA SERIKALI IHUMWA DODOMA
Matokeo ChanyA+
March 27, 2019
Taarifa Vyombo vya Habari, Taarifa ya Habari, Tanzania MpyA+
1,412 Imeonekana
Unaweza kuangalia pia
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai (Mb) leo azindua …