RAIS DKT.SHEIN AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA SIKU YA UTUMISHI WA UMMA

  • Uongozi wa Ofisi ya Rais na Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kushirikiana na Chuo cha Utawala wa Umma (IPA) umetakiwa kuandaa programu maalum ya mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya Viongozi, Watendaji Wakuu na Watumishi wengine wa Serikali.
Z
Waziri wa Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Haruna, kizungumza katika ufunguzi wa kongamano la maadhimisho ya Siku ya Utumishi wa Umma Zanzibar yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil, Kikwajuni mjini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein aliyasema hayo leo katika ufunguzi wa kongamano la maadhimisho ya Siku ya Utumishi wa Umma Zanzibar yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil, Kikwajuni mjini Zanzibar.
  • Katika hotuba yake hiyo, Rais Dk. Shein alisema kuwa programu hiyo ya mafunzo ya muda mfupi kwa ajili ya viongozi hao yana lengo la kuongeza ufanisi katika Utumishi wa Umma ili wapate masomo ya kuwakumbusha majukumu yao na kuweza kuwahudumikia vyema wananchi.
ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza katika ufunguzi wa kongamano la maadhimisho ya Siku ya Utumishi wa Umma Zanzibar yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil, Kikwajuni mjini Zanzibar.
  • Rais Dk. Shein katika hotuba yake hiyo alieleza kuwa ubunifu ni muhimu katika utumishi wa Umma na ndio utakaowafanya watumishi kuacha kufanya kazi kwa mazoea.
  • Alisisitiza kwamba bila ya kuwa wabunifu Zanzibar inaweza kubaki nyuma katika karne hii ya sayansi na teknolojia ambapo kwa bahati mbaya miongoni mwa watumishi wapo wachache ambao ni wagumu kubadilika katika kutimiza majukumu yao ya utumishi.
Z 4-01
Wageni wakifatilia ufunguzi wa kongamano la maadhimisho ya Siku ya Utumishi wa Umma Zanzibar yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdul wakil, Kikwajuni mjini Zanzibar.
  • Aliongeza kuwa watumishi wa aina hiyo ni lazima wabadilike na wahakikishe wanakwenda na kasi ya kutoa huduma zilizo bora na kutoa nasaha zake za kuhakikisha watumishi wanakuwa wabunifu wa kutafuta njia bora, rahisi na nzuri ya kuwatumikia wananchi ambao ndio waajiri.
  • Rais Dk. Shein alisema haja ya kuwepo kwa Chuo cha Utumishi wa Umma ambacho kutokana na mahitaji maalumu ya kitaalamu, maadili, fikra, mawazo na tabia zinazohitajika kwa wafanyakazi katika sekta ya umma nchi zote duniani zina vyuo maalum vya kutoa mafunzo maalum kwa watumishi wa umma.
  • Alieleza kuwa utumishi wa Umma ulio bora ni chachu muhimu katika kuongeza kasi ya maendeleo hapa nchini kiuchumi na kuuimarisha ustawi wa jamii hasa kwa kutambua kuwa utumishi wa Umma ni kigezo muhimu cha misingi ya Utawala Bora.
Ad

Unaweza kuangalia pia

LIVE:RAIS MAGUFULI KATIKA UTIAJI SAINI MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA KAMPUNI YA MADINI YA BARRICK

16 Maoni

  1. http://peregonavtofgtd.kiev.ua

    Быстро, эффективно и еще фундаментально провезти Ваш автомобиль из Украины в течение Европу, чи из Европы в Украину хором с нашей командой. Формирование документов равно вывоз производятся в течение оклеветанные сроки.
    http://peregonavtofgtd.kiev.ua

  2. Thank you pertaining to sharing the following great subject matter on your website. I ran into it on google. I am going to check to come back after you publish additional aricles.

  3. Thanks for another great post. Where else may anybody get that type of info in such an ideal way of writing? I have a presentation next week, and I’m at the search for such information.

  4. We’re developing a conference, and it looks like you would be a great speaker.

  5. I like the helpful information you provide in your articles. I’ll bookmark your blog and check again here frequently. I am quite certain I’ll learn many new stuff right here! Best of luck for the next!

  6. Great blog here! Also your site loads up very fast! What web host are you using? Can I get your affiliate link to your host? I wish my website loaded up as fast as yours lol

  7. 1win vs wisla krakow [url=https://www.1win.tr-kazakhstan.kz]https://www.1win.tr-kazakhstan.kz[/url] 1 win зеркала https://www.1win.tr-kazakhstan.kz

  8. I have been surfing online more than three hours today, yet I never found anything that grabbed my interest as much as this piece.

  9. How come you do not have your website viewable in mobile format? cant see anything in my Droid.

  10. Took me time to read all the comments, but I really enjoyed the article. It proved to be Very helpful to me and I am sure to all the commenters here It’s always nice when you can not only be informed, but also entertained I’m sure you had fun writing this article.

  11. it is a really nice point of view. I usually meet people who rather say what they suppose others want to hear. Good and well written! I will come back to your site for sure!

  12. My coder is trying to convince me to move to .net from PHP. I have always disliked the idea because of the expenses. But he’s tryiong none the less. I’ve been using WordPress on numerous websites for about a year and am nervous about switching to another platform. I have heard great things about blogengine.net. Is there a way I can import all my wordpress posts into it? Any help would be really appreciated!

  13. This website has lots of really useful stuff on it. Thanks for informing me.

  14. Our community leaders need to read this, and look at developing some of your recommendations.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *