MAKAMBA AKABIDHI OFISI KWA GEORGE SIMBACHAWENE

TM 4-01
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene akimsindikiza Mhe. January Makamba mara baada ya kukamilika kwa hafla ya makabidhiano ya Ofisi katika Ofisi ndogo Dar es Salaam. Katikati ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima.
TM 3-01
Picha ya pamoja baada ya makabidhiano ya Ofisi: Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene (kulia) Mhe. January Makamba na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mussa Sima.
TM 2-01
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba akikabidhi Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Boniface Simbachawene katika Ofisi ndogo ya Makamu wa Rais jijini Dar es Salaam.
Ad

Unaweza kuangalia pia

TANZANIA YATAKA AMANI KUPUNGUZA MZIGO WA WAKIMBIZI AFRIKA

Tanzania imetaka Umoja wa Afrika na Jumuiya za Kimataifa kuongeza jitihada na nguvu katika kuleta …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *