KATIBU MKUU SEKTA YA UJENZI AKAGUA UJENZI WA JENGO LA HOSPITALI SONGWE

SM 1-01
Katibu Mkuu wa Sekta ya Ujenzi Arch. Elius Mwakalinga, akikagua maendeleo ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Tunduma mkoani Songwe.
SM 2-01
Msimamizi wa ujenzi wa mradi huo Mhandisi Fidelis Cosmas, akimuonesha Katibu Mkuu Arch. Elius Mwakalinga, vipimo vilivyotumika kwenye mradi wa ujenzi wa hospitali ya wilaya ya tunduma. Ujenzi huu unasimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).
SM 3-01
Katibu Mkuu wa Sekta ya Ujenzi Arch. Elius Mwakalinga, akikagua jengo la Mkuu wa Mkoa wa Songwe linalosimamiwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA).
SM 4-01
Katibu mkuu wa sekta ya ujenzi arch. Elius Mwakalinga, akitoa maelekezo kwa meneja wa wakala wa majengo (tba) mkoani songwe, arch. Christina Shayo kuhusu marekebisho kwenye mradi wa ujenzi wa ofisi ya mkuu wa mkoa songwe.
Ad

Unaweza kuangalia pia

SERIKALI INATARAJIA KUJENGA MINARA 5 YA MAWASILIANO WILAYANI MAFIA

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mh. Injinia Atashasta Nditiye (Mb.) amezindua mnara wa Mawasiliano …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *