Afisa Ubalozi wa Tanzania Ndugu Lusekelo Gwassa akihutubia waandishi wa habari wa Jimbo la Zhejiang wakati wa hafla ya kutangaza safari ya watalii 312 kutoka Jimbo hilo kwenda Tanzania ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya Bodi ya Utalii Tanzania(TTB) na Touchroad GroupAfisa Ubalozi wa Tanzania Ndugu Lusekelo Gwassa akihutubia waandishi wa habari wa Jimbo la Zhejiang wakati wa hafla ya kutangaza safari ya watalii 312 kutoka Jimbo hilo kwenda Tanzania ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya Bodi ya Utalii Tanzania na Touchroad Group. Kwa mujibu wa Bank kuu ya Tanzania mwaka 2018 taifa liliingiza dola 2.44 bilioni kupitia sekta ya utalii.