WAZIRI WA UJENZI KAMWELE AFANYA MAZUNGUMZO NA WACHIMBAJI WA MADINI WAKUBWA ILI KUTATUA CHANGAMOTO ZAO

KW 5-01
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko akitolea ufafanuzi baadhi ya hoja za wachimbaji wa madini zilizowasilishwa kwa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhandisi Isaac Kamwele wakati wa kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa TPA jijini Dar es Salaam.
KW 6 -01
Naibu Waziri Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya akifuatilia kikao kilichojumuisha wachimbaji wa Madini wakubwa pamoja Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhandisi Isaac Kamwele kilichokuwa na lengo la kusikiliza changamoto wanazozipata wachimbaji hao ili waweze kutumia bandari ya Dar es Salaam kwa asilimia 100.
KW 2-01
Baadhi ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), wizara na wachimbaji wa Madini wakiwa kwenye kikao kilichoitishwa na Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhandisi Isaac Kamwele ili kusikiliza changamoto wanazozipata wachimbaji hao wanapotumia Bandari ya Dar es Salaam.
KW 3-01
Baadhi ya wachimbaji wakubwa wa madini wakiwasilisha changamoto kwa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi,wanazozipata pale wanapotumia bandari ya Dar wakati wa kikao kilichoandaliwa na Waziri huyo ili kutatua changamoto hizo ikiwemo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania
KW 4-01
Baadhi ya wachimbaji wakubwa wa madini wakiwasilisha changamoto kwa Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi,wanazozipata pale wanapotumia bandari ya Dar wakati wa kikao kilichoandaliwa na Waziri huyo ili kutatua changamoto hizo ikiwemo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania
Ad

Unaweza kuangalia pia

SOKO LA MDINI ULANGA LA KUSANYA MILIONI 396 NDANI YA MIEZI 5

Waziri wa Madini Doto Biteko amesema tangu kuanzishwa kwa soko la madini Ulanga wamenunua madini …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *