Imeelezwa kuwa, matumizi ya gesi asilia katika kuzalisha umeme yameokoa fedha za kigeni kiasi cha Dola za Marekani bilioni 10.29 ambazo zingetumika kununua mafuta nje ya nchi kwa ajili ya kuzalisha umeme kutoka mwaka 2004 hadi Septemba 2018. Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
October, 2018
-
23 October
JK – JPM Anafanya Kazi Nzuri Sana!
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Baada ya mazungumzo yao Mhe. Rais Mstaafu Kikwete amesema wamekutana kwa utaratibu wa kawaida wa kusalimiana na kutakiana heri katika majukumu. “Nimekuja kumsalimia nakumtakia …
Soma zaidi » -
23 October
UFAFANUZI WA UDAHILI WA WANAFUNZI MWAKA WA KWANZA CHUO KIKUU DAR ES SALAAM.
Ni ule wa kufutiwa kuchaguliwa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2018/19 zaidi ya 680. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam – Taaluma Prof. Bonaventure Rutinwa atoa ufafanuzi. Fuatilia katika video hii Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako atoa maelekezo kwa Chuo …
Soma zaidi » -
22 October
TUNAYO NGUVU KAZI YA TAIFA YA KUTOSHA KUJENGA UCHUMI IMARA NA MADHUBUTI KWA NCHI YETU
Amtia nguvu Rais Magufuli aendelee kufufua uchumi wa nchi yetu na asikate tamaa. Asisitiza kuwa serikali ya awamu hii inaweza kufanya bajeti ya nchi yetu itokane na makusanyo ya mapato. Ashauri uwekezaji uendelee kuhusishe wazawa. Asisitiza serikali iendelee kuwa imara na kutumia nguvu kazi (vijana) wajenge uchumi madhubuti wa nchi …
Soma zaidi » -
20 October
JESHI LA POLISI LATHIBITHISHA KUPATIKANA KWA MFANYABIASHARA MOHAMED DEWJI AKIWA NA AFYA NJEMA.
Kamanda wa Kanda Maalum athibithisha Asema kwa mujibu wa maelezo ya awali ya MO mwenyewe watekaji walitaka pesa. Taarifa za kina zaidi zitaletwa na Jeshi la Polisi
Soma zaidi » -
19 October
Ni Lazima Mshinde! – Rais Magufuli
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka wachezaji wa timu ya soka ya Taifa (Taifa Stars) kuongeza juhudi za kupata ushindi katika michuano mbalimbali inayoshiriki ikiwemo ya kufuzu fainali za michuano ya Afrika (AFCON) itakayofanyika mwakani nchini Cameroon. Mhe. Rais Magufuli amesema hayo leo alipokutana na kuzungumza na wachezaji wa …
Soma zaidi » -
19 October
Late Live: IGP AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI
Azungumzia hatua muhimu za oparesheni mbalimbali za jeshi la polisi kwa miezi mitano (Machi hadi Oktoba) Oparesheni hiyo imeweza kukamata magari ya wizi 42 na yote yanaletwa Dar es Salaam kwaajili ya kuwarahisishia wananchi kwaajili ya utambuzi katika tarehe itakayotangazwa. Hali kadhalika, silaha mbalimbali 190 na risasi nyingi zimekamatwa katika …
Soma zaidi » -
19 October
LIVE:RAIS MAGUFULI AKUTANA NA TAIFA STARS IKULU
Rais Dkt.John Magufuli akutana na timu ya Taifa Stars muda huu Ikulu jijini Dar Es Salaam.
Soma zaidi » -
18 October
MAKAMU WA RAIS – SEKTA YA UTALII INAKUA KWA KASI DUNIANI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema Sekta ya Utalii imeendelea kukua kwa kasi sana Duniani kutokana na maendeleo ya teknolijia na upatikanaji taarifa. Makamu wa Rais aliyasema hayo jana jioni wakati alipokutana na Wadau wa sekta ya utalii katika Mchapalo ulioandaliwa na …
Soma zaidi » -
18 October
RAIS MAGUFULI AENDELEE KUFUFUA UCHUMI NCHI HII IJITEGEMEE – DKT. MAUA DAFTARI
“(Rais Magufuli) Aendelee kufufua uchumi wa nchi hii tujitegemee. Kama tuna Rasilimali zote tulizonazo, kwanini bajeti yetu iwe ni ya kusaidiwa.. kwenye kikombe kuomba kwa watu; why!? Bajeti yetu itokane na makusanyo yetu! Na tunao uwezo wa kufanya hivyo! Anayetaka ku-invest (kuwekeza) aje a-invest.. kwenye agriculture (kilimo).. lakini na Watanzania …
Soma zaidi » -
17 October
TANZANIA YAJITOSHELEZA KWA CHAKULA MIAKA MITANO MFULULIZO-Dkt. TIZEBA
Tanzania imeendelea kuwa ghala la chakula kwa nchi za jirani kwa kipindi kirefu baada ya kujitosheleza kwa chakula takribani kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo. Tanzania imeweza kuuza ziada ya mazao mbalimbali ya chakula katika nchi za nje. Kulingana na takwimu zilizotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kipindi …
Soma zaidi » -
16 October
TANZANIA YA VIWANDA: Wakulima Mkoani Ruvuma Waendelea Kunufaika na Kiwanda Cha Kubangua Korosho!
Zaidi ya tani 20 ambapo kg. 20,920,519 zilinunuliwa kutoka katika minada ya wakulima. Wakulima wanufaika kwa mauzo ya korosho hizo kwa kupata Tsh. Bilioni 79.78 kama malipo. Serikali yajipanga kuwathibiti wote wanaohujumu zao la korosho. Yawataka wakulima kujenga uaminifu kwa kuuza korosho safi ili kuwa na soko imara.
Soma zaidi » -
16 October
MRADI WA UPANUZI WA BANDARI YA DAR ES SALAAM WAFIKIA ASILIMIA 42
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa upanuzi wa bandari, ujenzi wa magati na kuongeza kina cha kupakia na kupakua mizigo kwenye Bandari ya Dar es Salaam Nditiye amesema kuwa ameridhishwa na hatua iliyofikiwa ya maendeleo ya mradi huo …
Soma zaidi »