Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kwamba, kwa sasa umeme unaozalishwa nchini unatosheleza mahitaji ya wananchi; bali jitihada za kuzalisha umeme mwingi zaidi zinazoendelea kufanywa na Serikali, ni kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Ameyasema hayo wakati akizungumza na Mwekezaji kutoka Kampuni ya Jos’ Hansen ya Ujerumani, Michael Kabourek, …
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
October, 2018
-
9 October
TESEApp; Yazinduliwa Rasmi Leo!
• Haya ni Matokeo ChanyA+ ya matumizi sahihi ya SIMU ZA MKONONI, TABLETS, LAPTOPS na KOMPUTERS KWA WANAFUNZI WA NCHI YETU! • Ni ‘application’ inayoweza kupakuliwa (download) katika aina zote za SMART PHONE, TABLETS, LAPTOPS na COMPUTERS. • Imebuniwa na kutengeneza vijana wazawa, wataalamu wa Kitanzania (Made in Tanzania …
Soma zaidi » -
8 October
IRINGA MPYA+
Mkakati wenye Matokeo chanyA+ 110% wa mkoa wa Iringa. Mhe. Ally Hapi, Mkuu wa Mkoa huo, amefanya ziara katika tarafa zote 15 Amefanya mikutano mikubwa 20 na mikutano midogo 65 Mhe. Hapi amefanikiwa kutatua kero mbalimbali zipatazo 849 za wananchi wa mkoa huo RC Hapi katika ziara hiyo ya Iringa …
Soma zaidi » -
8 October
NACHINGWEA YATANGAZA UZINDUZI WA MSIMU WA UUZAJI KOROSHO 2018/2019
Pamoja na uzinduzi huo, Mhe. Rukia ameendelea kuunga mkono wito wa serikali kwa kukaribisha wawekezaji wa viwanda vya kubangua korosho wilaya humo ili wakulima wanufaike zaidi na kuongeza thamani ya zao hilo sambamba ya ajira kwa wakulima na watakao ajiriwa katika viwanda vhivyo. Tarehe ya Uzinduzi 13/10/2018 siku ya Jumamosi …
Soma zaidi » -
6 October
MKUU WA JKT AFANYA ZIARA YA KIKAZI KIKOSI CHA MAFINGA JKT
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Tanzania (JKT) Meja Jenerali Martin Busungu Ijumaa tarehe 05/10/2018 ametembelea kikosi cha JKT Mafinga na kukagua shughuli mbalimbali za uzalishaji mali zinazofanywa na kikosini hapo. Ziara hiyo ya Mkuu wa jeshi la Kujenga Taifa ni muendelezo wa ziara zake za kujitambulisha na kujionea …
Soma zaidi » -
6 October
MIKOA YA DODOMA,GEITA NA NJOMBE YAONGOZA MAKUSANYO YA KIMKOA
Waziri Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI Selemani Jafo amesema kuwa serikali imekuwa ikifuatilia ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri zote ili kuweza kufanikisha utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Halmashauri zote nchini. Waziri Jafo amesema hayo wakati akitoa taarifa ya makusanyo ya mapato ya Halmashauri zote nchini Mkoani Dodoma. MAKUSANYO …
Soma zaidi » -
5 October
LATE LIVE: MSANII WA KIZAZI KIPYA DIAMOND ARUDI KWAO TANDALE
Agawa bure kadi BIMA ya AFYA kwa watu 1,000 Baadhi wabahatika kupata zawadi mabalimbali ili kukuza uchumi na mtaji ikiwemo bodaboda, mtaji kwa akina mama na nyinginezo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awa Mgeni Rasmi na kutoa amri ya kuongeza muda wa buirudaniu kwa siku za wikiendi. Sasa …
Soma zaidi » -
5 October
TUME YA MADINI YATOA LESENI MPYA ZA MADINI 7879
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amesema kuwa kati ya kipindi cha mwezi Mei hadi Septemba mwaka huu, Tume ya Madini, imetoa leseni 7879 ambazo maombi yake yaliidhinishwa kupitia kikao cha Tume kilichofanyika tarehe 25 Septemba, 2018 kujadili taarifa za Kamati za Tume na utendaji kazi katika kipindi …
Soma zaidi » -
5 October
WAZIRI MKUU: Mradi wa umeme wa Stiegler’s Gorge utakuwa wa gharama nafuu
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema uamuzi wa Serikali ya awamu ya tano wa kujenga mradi wa kuzalisha umeme kwenye maporomoko ya mto Rufiji, Stiegler’s Gorge utasaidia sana kudhibiti uharibifu wa mazingira nchini. Akizungumza baada ya kutembelea eneo utakapojengwa mradi huo, Waziri Mkuu amesema umeme utakaotokana na maji, utazalishwa kwa gharama nafuu na …
Soma zaidi » -
5 October
LATE LIVE; WAZIRI JAFO AKITOA MATOKEO YA UKUSANYAJI WA MAPATO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Suleiman Jafo akitoa matokeo ya ukusanyaji wa mapato hii leo Mkoani Dodoma. fuatilia kupitia matangazo hayo ya moja kwa moja kutoka Dodoma.
Soma zaidi » -
3 October
“WAZIRI TIZEBA ANAFANYA KAZI KUBWA”-WAZIRI MKUU
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mamia ya wakulima leo tarehe 3 Octoba 2018 katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro wakati akimuwakilisha Rais, John Pombe magufuli katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Mtandao wa wakulima Tanzania (MVIWATA), (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mamia ya wakulima wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumzaleo …
Soma zaidi » -
3 October
MZEE MWINYI: RAIS MAGUFULI MIMI NINA KUHUSUDU KWASABABU UNAFANYA MAMBO MAZURI KWA WANANCHI
Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi amesema kuwa aliomba kustaafu kuwa Mdhamini wa Skauti Tanzania ombi ambalo lilikataliwa na Rais Magufuli,na kusema kuwa bado vijana wana mambo mengi ya kujifunza kutoka kwake. Mzee Mwinyi amesema hayo wakati wa kumwapisha Bi. Mwantumu Mahiza kuwa Skauti Mkuu Tanzania …
Soma zaidi » -
3 October
PROF.KABUDI AKUTANA NA WAZIRI WA KATIBA WA SMZ
Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Haroun Ali Seleiman. Prof. Kabudi yuko Zanzibar kwa ziara ya siku mbili na katika mazugumzo yao …
Soma zaidi »