Kampuni kubwa ya kuzalisha saruji ya Mbeya Cement imeanza kutumia huduma za Bandari ya Kyela kwa kusafirisha tani 1,000 za makaa ya mawe. Tani hizo za makaa ya mawe zimepokelewa katika Bandari ya Kiwira leo.
Soma zaidi »Taarifa ChanyA+
September, 2018
-
18 September
JESHI: Jukumu la kwanza la Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao.
Ukakamavu na kujiamini kunamfanya askari atekeleze majukumu yake vizuri.
Soma zaidi » -
18 September
WANANCHI WA KJIJI CHA MUSANJA WAJITOLEA KUJENGA DARAJA
Wananchi wa Kijiji cha Musanja, Kata ya Musanja wamejitolea kwa hali na mali kujenga daraja linalounganisha Vitongoji vya Kaharaga na Kukema (ilipo S/M Musanja) ili kurahisisha mawasiliano kati ya Shule na Jamii inayozunguka Shule hiyo. Ujenzi wa Daraja hilo utasaidia wanafunzi wanaosoma shule ya msingi Musanja waliokuwa wanapata shida …
Soma zaidi » -
18 September
UTANDIKAJI WA RELI YA SGR UMEANZA
Utandikaji wa reli ya kisasa ya SGR umeanza leo rasmi katika eneo la Soga Kibaha Mkoani Pwani, ambapo awamu ya kwanza itafanyika katika kilometa 55.
Soma zaidi » -
17 September
AHADI: Hii hapa ahadi ya Rais Dkt Mgufuli iliyotimiA
Ikumbukwe kwamba mnamo tarehe 17 Octoba 2015 katika kampeni za uchaguzi mkuu 2015, Dk Magufuli alifanya kampeni katika jimbo la Segerea, aliwaomba wakazi wa Dar es Salaam wampatie kura Oktoba 25 ili aweze kutekeleza miradi hiyo mikubwa itakayoenda sanjari na ujenzi wa barabara za juu zitakazopunguza foleni. LEO AHADI IMETIMIA …
Soma zaidi » -
17 September
TANESCO KUOKOA MIL. 450 KILA MWEZI BAADA YA KUZIMA MITAMBO YA KUFUA UMEME INAYOTUMIA DIZELI RUVUMA
Moja ya mitambo ya kufua umeme wa mafuta ya dizeli uliokuwa kwenye kituo cha Songea ikiwa imezimwa. Kutokana na kuzimwa kwa mitambo ya dizeli iliyokuwa ikitumika kufua umeme kwa matumizi ya mji wa Songea na vitongoji vyake Septemba 13, 2018 baada ya kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa, Shirika la umeme …
Soma zaidi » -
16 September
GAIRO: Gairo yafaidika milioni 135 katika Elimu
Mkuu wa wilaya ya Gairo Mhe. Siriel Shaidi Mchemba akiongozana na DED na Meneja TARURA wamefanya ziara Kata ya Mandege vijiji vya Njungwa na Ikwamba. Mbali na barabara kuwa changamoto wamefanikiwa kufika katika kata hizo. Katika kuboresha miundo mbinu ya barabara tayari TARURA wameanza ujenzi wa barabara hizo. Wananchi wa …
Soma zaidi » -
15 September
Eng. Patrick MFUGALE aongelea kuanza kutumika Kwa Flyover kabla ya uzinduzi.
Barabara za juu katika eneo la Tazara jijini Dar es Salaam nchini Tanzania zimeanza kutumika hii leo kwa majaribio ambapo uzinduzi rasmi utafanyika baada ya tarehe rasmi kupangwa. Akizungumza mara baada ya kufanyika kwa uzinduzi huo wa majaribio injinia Patrick Mfugale ambaye barabara hizo zimepewa jina lake Mfugale Fylover amesema …
Soma zaidi » -
15 September
KIGOMA INAJENGWA UPYA
Barabara za mji wa Kigoma zajengwa upya kwa kiwango cha lami. Barabara ya Lusimbi inayotokea mtaa wa Shaurimoyo Mwanga kupitia barabara kuu ya Lumumba,Legezamwendo,Mabatini na inakuja kutokea Pefa Ujenzi jirani kabisa na Kanisa la Efatha Ministry ambayo inakutana na Kasulu Road Pia barabara Mji mwema ikianzia maeneo ya Bima Kigoma …
Soma zaidi » -
14 September
HISTORIA NA MAISHA YA DKT. JAKAYA KIKWETE
•Nitabu kipya kinaandikwa na kinakuja hivi karibuni • Ni cha historia na maisha ya Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne. • Kitakuwa na safari nzima ya maisha, uongozi na hali ya sasa ya Mhe. Rais Mstaafu #TupoVizuri #MATAGA (tazama video …
Soma zaidi » -
14 September
NEC: Imetangaza uchaguzi mdogo katika kata 37 za Tanzania bara zilizopo katika Halmashauri 27 nchini.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo katika kata 37 za Tanzania bara zilizopo katika Halmashauri 27 nchini, ikieleza kuwa uchaguzi huo utafanyika Oktoba 13, 2018 Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage amesema hapo jana kuwa fomu za uteuzi wa wagombea katika uchaguzi huo zitatolewa kati ya Septemba …
Soma zaidi » -
14 September
TAKUKURU; HANSPOPE WA SIMBA, ANAYEFAHAMU ALIPO ATUPE TAARIFA HARAKA
Waahidi donge nono kwa yeyote atakayetoa taarifa za alipo Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba Zacharia Hanspope Pia, taarifa zinahitajika kwa yeyote anayefahamu alipo Franklin Lauo aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo ambaye alitumia rushwa na kupata tenda ya ujenzi wa Kiwanja cha Mpira wa Miguu cha klabu …
Soma zaidi » -
14 September
UJENZI WA AIRPORT MPYA UMEFIKIA 81%
• Ni uwanja wa Ndege wa Kisasa na bora zaidi kwa Afrika Mashariki na Kati • Jina lake litabaki lile lile Uwanja waNdege wa Kimataifa (Julius Nyerere Julius Nyerere International Airport) • Huduma kwa wasafiri kuongezeka kwa 400% ambapo itakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria milioni 6 kwa mwaka kutoka …
Soma zaidi » -
14 September
IRINGA: “Unganishiwa umeme kwa bei nafuu ya mradi wa REA ya shilingi elfu 27 tu” Mhe.Kalemani
YALIYOJIRI KWENYE KIPINDI CHA TUNATEKELEZA KILICHOMUHUSISHA WAZIRI WA NISHATI, DKT. MEDARD KALEMANI 13/09/2018. #Mradi wa Kituo cha Kupooza na Kusambaza Umeme uliopo Makambako, umekamilika #Utekelezaji wa mradi huu ulianza Septemba 2016, pia ni miongoni mwa miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali kupitia Ilani ya Chama cha Mapinduzi #Sehemu ya kwanza …
Soma zaidi »