NAIBU WAZIRI WA MADINI ATEMBELEA MTAMBO WA KUCHENJUA DHAHABU WA KAMPUNI YA CHINA GOLD

SN
Naibu Waziri wa Madini Mhe Stanslaus Nyongo atembelea mtambo wa kuchenjua dhahabu (gold refinery) wa Kampuni ya China Gold. Kampuni hiyo ambayo ni mwanachama wa London Gold Bullion Exchange Market imeelezea nia yake kuchangamkia fursa ya kuwekeza katika sekta ya madini nchini.
Ad

Unaweza kuangalia pia

UCHUMI WA TANZANIA WAZIDI KUKUA NA KUIMARIKA

Hali ya uchumi wa Tanzania yazidi kuimarika na kukua  kwa asilimia 6.9 ikiwa ni  takwimu …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *