WAFANYABIARA WA ASALI CHALINZE WAPATA SOKO

AS 2-01
Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema kuwa Kero ya masoko ya Asali sasa imekwisha rasmi baada ya kuwaunganisha wafanyabiara asali na mnunuzi,ambapo amepatikana  mnunuzi ambaye ameahidi kununua asali yote inayozalishwa jimboni humo, na kuwapatia mizinga ya nyuki na vifaa vya kuvunia vya kisasa.
Ad

Unaweza kuangalia pia

WAZIRI KAIRUKI ATEMBELEA KIWANDA CHA KUCHAKATA BETRI CHAKAVU CHA HUATAN

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *